Habari yako brother Michuzi

Watu wanasema duniani tuko wawili wawili basi huyu jaama hapo chini kwenye link ni pacha wako

http://www.harvardmagazine.com/on-line/090439.html

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Ni vyema ukawaulize wazazi wako (kama bado wapo hai) hasa baba kama aliwahi kushiriki na kushinda ligi za mchangani. Huyo jamaa mnafanana kinoma.

    ReplyDelete
  2. Ni kweli kabisa huyu jamaa mmefanana Mzee wa blogu

    ReplyDelete
  3. Mambo ya ADOBE PHOTOSHOP nini?...
    this is too much of photo copying. Michuzi, uliza vizuri wazazi wako kaka, yawezekana ukawa una undugu na huyo jamaa. ni Mbongo huyo mtu???

    ReplyDelete
  4. Michuzi hata wewe mwenyewe nadhani umestaajabu.Imebidi nifungue hayo maelezo ya Harvard kuhakikisha si wewe.

    ReplyDelete
  5. Michuzi kama umeshawahi kuiona movie ya Face/Off (John Travolta na Nicolas Cage) basi unaweza kusema mmoja wenu ameiba sura ya mwenzake kama ilivyo kuwa kwenye movie.

    ReplyDelete
  6. Acheni kumpa mafuta ya mgongo mwenzenu. Huyu jamaa hawajafanana hata kidogo isipokuwa bichwa tu ndio kubwa ndio kuna kama mfanano kidogo, sio sura.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...