niko na (toka shoto) kijasti, mzee wa sumo, braza jesse na makene katina bonanza ya vyombo vya habari tuloandaa leo koko bichi kuukaribisha mwaka

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Waandishi wa Habari wa Bongo mnaonekani hamkosekani kwenye ma-Bonanza na inaonekana mnashiriki vilivyo kwenye michezo mbalimbali siku kama hii. Basi mngekuwa pia mnashiriki vilivyo katika kuifahamisha jamii kuhusiana na rushwa ilivyo kithiri nchini na matatizo mbalimbali yahusuyo jamii ambayo kila siku hamyaandiki kisa tu mmepewa bia au pesa kidogo na kina Richmonduli na vigogo wengine.

    Na muache kujipendekeza kwa Kikwete maana kila siku mnamuandika na misifa kibao, hebu angalieni maslahi ya nchi na sio mitumbo yenu.

    ReplyDelete
  2. Michuzi mbona wewe uko soap soap utadhani ulikuwa mgeni mwalikwa wakati na wewe ni mdau. Ina maana huna mchezo wowote ambao una shiriki? Huonekani kama mtu aliyekwenda kwenye bonanza la michezo.

    ReplyDelete
  3. Mzee wa "KASRI MAKENE" nakuona uki-represent TEXAS??
    Anyway, have fun and always be real and keep your head up!!

    ReplyDelete
  4. Michuzi yuko sop sop sababu alikuwa anacheza draft na karata

    ReplyDelete
  5. Bonnny Makene mzee ulipotelea wapi? Nimefurahi kuiona sura yako tena kupitia Michuzi.Sina hakika unaliandikia gazeti gani kati ya mwananchi na free media.Kaza buti,tunakumiss!!

    ReplyDelete
  6. ahaaa, mtu wangu kijasti upo baba? Ndiapa lepa mpaka tumale ugimbi... Haiwezekani, haiwezekani mpaka tumale ugimbi............

    Aminia babake, kaza mwendo, muda si mrefu tunaanza tena kazi..

    ReplyDelete
  7. Mwambie mzee wa Sumo hilo tumbo anafuga ugonjwa huo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...