Home
Unlabelled
hafif
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hivi huyo pembeni ya kikwete ni yule mwanaye aliyedai kuibiwa simu??
ReplyDeleteWe anony hapo juu huyo ni Hasan Hafif Yahya.Alitikisa enzi zake alipokuwa kocha mchezaji wa Simba.Hana mnasaba wowote na JK.
ReplyDeletembona tulisikia Hassan naffif alikufa siku nyingi? kule Gaza kwenye mlipuko wa bomu amefufuka lini Michuzi? Eeeh basi duniani kuna mambo siamini macho yangu Haffif yupo hai?
ReplyDeletewe anony, ninayemuulizia ni huyo wa upande wa kushoto mwa jk,,hafif namfahamu vizuri.
ReplyDeleteMwambie JK apunguze safari. Kaanza kupungua mwili sasa.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteUmenikumbusha mechi ya Simba na Sports Club Villa ya Uganda fainali za Kombe la Afrika Mashariki Na Kati 1990. Tulishinda na Kocha mchezaji alifanya kazi kubwa wakati huo Kibaden akiwa kocha mkuu.
hassan afif yuko qatar , sasa nizam ya mtoto wake ni moto wa kuotea mbali anasakwa na vilabu vikubwa barani ulaya ni ALLY HASSAN AFIF nachezea saad sport club ya qatar
ReplyDeleteby afif malik