Home
Unlabelled
kampani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mzuri sana wenzangu! Hizi kampani namimi nazitafuta sana huku ughaibuni lakini wapi.Sipati kampani kama hizi kwa kubadilishana mawazo tu!
ReplyDeleteHuyu mwana Dada ni mzuri kwa kweli lakini mimi naamini ni kwa sababu tu ya kuogea maji yenye viwango na lotion yenye TBS sawa na sio TBS ya bongo kanjanja.Bongo kama hawa wako kibao lakini mambo ya kuogea mbuni mzee wangu kila siku utaonekana una dundrufs kwa jinsi ulivyopauka.Ila tumwombe mungu iko siku na sisi bongo tutaboresha skin care products.Tunakushukuru kwa picha Geogina.
ReplyDeleteTeacher.
Huyu jamaa anayedai hizi kampani hua hazipati,kweli huwezi kuzipata kwa sababu hujui kingereza,na huna hela sasa wewe wa nini mtoto kama huyu utamweleza nini au utamtishia na hela zipi kwa sababu hua hizo ndizo factors.You are either smart or you have money but my friend you ain`t gat shit to offer?You suck.
ReplyDeleteWord up da' chap above. Kidumu Chama Cha Mapinduzi!!!
ReplyDeletewewe anon hapo juu umejuaje jamaa ana pesa wala hajui kingereza?
ReplyDeleteDuh, shehe mbona shukrani zimekuwa nyingi hivyo? Tuu upo fiti, vp mchezo wa squash umeacha ughaibuni? kuna kipindi nilidhani ungekuwa tegemeo la taifa! Big Up!
ReplyDeleteMheshimiwa Anoni 11:13:59 Mie nakushangaa sana kijana kama ungekuwa unanifahamu vizuri ndio ungesema hivyo.Eti sijui kiingereza wala sina hela.wewe unafikiri mie huku naongea Kimakonde au kihaya.
ReplyDeleteAlafu kijana inalelekea wewe una fikra mgando sana eti kupata kampani kama hizi lazima uwe na hela au nijue kiingereza kule nyumbani tunaona wamasaio wanachukua wanawake wa kizungu bila kujua kiingereza wala kiswahili.Nakufundisha kitu kimoja kuwa mie kupata kampani sina maana ya kupata kampani ya ngono au fikra mabaya unazozifikilia wewe.
Lazima ubadilike sana kijana kama bado una FIKRA MGANDO kama hizo tutakuacha nyuma.
Asante Michuzi.
Michuzi hivi una wife? Huyo mkeo poa sana...............we shukurani nyingi sana tu kwa kuyu mtu. inaelekea kampany ilikuwa babu kubwa. Na huyu mtu ndio yule ulipiga naye picha kwenye midoli ile uliyotuwekea. mbona mambo...chonde chonde..
ReplyDeletemichuzi ulipewa bambucha nini? mbona shukrani watu wawili picha mtu mmoja?
ReplyDeleteMichuzi kweli unashukuru ninauhakika unachuja sana habari juu ya hii pich kwani ninavyomjua Mage kuna mengi yamesemwa zaidi ya unayoyapost, but hey that is shukurani kwani ukiacha waandike ujinga hatokukaribisha tena.
ReplyDelete