Home
Unlabelled
kasongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
wote ambao mna nyimbo 'zilizopendwa' tengenezeni DVD na VIDEO. Maana mzee mzima Tabu Ley Rechereau ameonyesha kuwa hata wazee wazima wa zamani bado mna soko mkitoa zenu za zamani katika mikanda ya VIDEO na DVD, Hivyo Issa Nundu, Kasongo Mpinda, Maalim Ngurumo toeni vitu vyenu vikali katika DVD na VIDEO na hata YOUTUBE. Si juzi tu tumemwona bwana mdogo Vumbi Dekule katika YOUTUBE, Vumbi na wewe toa DVD na VIDEO za zilizopendwa.
ReplyDeleteMichuzi hivi huyu Pablo Machine ni mbongo au mzaire?Na kama ni mbongo mbona nyimbo zake zote ni za kilingala?Kuuliza si ujinga
ReplyDeleteBw Michuzi hizi bao tatu tatu mnazopigwa kila mnapokutana na ASERNAL zitakwisha lini?
ReplyDeleteHivi Michuzi kumbe mshabiki wa Liverpool? Pole kaka na kesho tena tunawabamiza kaa tayari. bao tatu nyingine zaja
ReplyDeleteI hope michudhi u'll never walk alone,ngoma hiyo ya emirates huiwezi tusubiri hiyo tuesday.
ReplyDelete