
ze doo of bigi benki ofu bongo - ah! kama noma na iwe noma, acha na mie niumwage umomboz... halafu soma hii hapo; nadhani inahusu mambo ya uraia wa dabo-dabo
Pressure groups are on the move, pressing for an amendment to the CitizenshipAct No. 6 of 1995, and legalize dual citizenship.Tanzania is among 127 countries worldwide that prohibit it.
The pressure groups are adamant, charging that once legalized two-foldcitizenship would help build the country's economy and convert the brain drain into brain gain.
Already thousands of Tanzanians worldwide have signed a petition infavour of the introduction of dual citizenship, in a website(www.tanzaniacyberzone) dedicated to the campaign created to drive home their pleas.
The petitioners contend that time is ripe for Tanzania to recognize the potential and importance of these Tanzanians and join the vastmajority of the rest of the world that acknowledged the importance ofits citizens that may not be resident in the country.
They charge that the world environment and attitudes have changed considerably since the Hague Convention was signed 1930, and especially over the last 10 to 15 years.They say that there is vastly greater mobility of people and increasedincidence of people living and working in foreign countries forextended periods.
"Tanzanians, like others, are often required to acquire citizenshipoverseas, e.g. in order to obtain financial loans which can be usedfor investment in Tanzania, or their Children born and become citizenby birth in other countries, or to reside with non-Tanzanian citizenspouses etc.
"There is greater acceptance in the modern, internationalized world,that individuals may be citizens of more than one country andsatisfactorily meet duties as citizens in relation to each.
"Also there is greater acceptance that having dual citizens hasn'tdone much harm to nations, and that the benefits of dual citizenshipextend beyond the individuals concerned. Dual citizenship makes iteasier for individuals to move between countries for business,employment, social and cultural purposes", the petitioners say in the website.
They have even strengthened their resolve by laying down what they refer to as 'common questions and answers' related to the dualrelationship debate.
Here are they…
Question. How do Tanzanian citizens benefit if dual citizenship is permitted?
A: For many Tanzanians living and working outside their homeland(there are no real statistics but the figure could be between 500,000to 1 million Tanzanians), dual citizenship will allow them to assumeother countries' citizenship without loosing their Tanzanian identity.
Acquiring foreign citizenship for these Tanzanians has become most important recently with increased fear and resentment of foreigners inmany western countries. The laws of these countries are changing tomake it harder, if not impossible, to obtain gainful employment,scholarship, legal protection, and benefit from welfare programs,without becoming citizens of those countries.
For example in the United States, the Welfare act passed in 1997 required automatic deportation of any foreigner convicted of a felony. Studies have shown that such convictions in a legal system that utilizes the jury systemare much easier for foreigners and racial minorities than they are for Caucasian citizens.
In most of these countries, they tax systems arealso biased against foreigners who pay higher taxes. In addition,acquiring foreign citizenship makes it easier for these Tanzanians to do international travels required by their jobs without the laborious process of visa applications.
For example, becoming a U.S. citizen means one does not have to obtain a visa to most European countrieswhereas a Tanzanian citizen would have to apply.
Q: Are there other advantages to Tanzanians in Tanzania for allowing dual citizenship?
A: Yes, many. For example, when a Tanzanian in U.S., UK, Canada,Australia becomes a citizen, it becomes easier for them to bring their relatives in that country for education opportunities, treatment, orimmigration. Second, as has happened with Israel, Cuba and othernations Tanzanian of foreign citizenship will advance to acquire jobs in international bodies (UN agencies) or be posted to internationaljobs as citizens of the foreign country. In that case, Tanzania'sinterests will always face a sympathetic ear because the "American" or"Briton" handling the issue if of Tanzanian decent.
Israel has exploited this fact very effectively. It will bode well for the Tanzanian government in the future to keep open arms policy to these Tanzanians.
Q: How does Tanzania as a country benefit from allowing dual citizenship?
A: Dual citizenship has become increasingly common, regardless of government policy or preference, in a world of economic globalization,instant communications, and vastly increased personal mobility. Dual citizenship facilitates travel, business and work opportunities forindividuals, and awareness has increased, in both 'sending' and'receiving' nations, of national level benefits. For Tanzania, it is important to note that Tanzanians abroad remit over 60% of the total foreign currency our nation receives. Whereas many of these remittances are made to help needy families, a significant amount of it is for joint business ventures, started with the expectation that the Tanzanian abroad will return soon or eventually retire inTanzania.
If dual citizenship is denied, these Tanzanians who are increasingly being forced to acquire foreign citizenship, will have to develop alternative investment plans and in the process deny Tanzaniathis important source of revenue.
Second, Tanzanians abroad, who number between 500,000 and 1 million, are the best ambassadors our government has. Allowing them dual citizenship enhances their sense of belonging, making them more cheerful and devoted ambassadors. Since we now have a popularly elected democratic government, we need these compatriots on the government's side.
Q: What are the disadvantages of allowing dual citizenship?
A: There major argument against dual citizenship is that the symbolic value of citizenship as the core of national identity, sovereignty and security would be diluted. As such, it is argued that citizenship should not be degraded by being treated as a commodity to be soughtfor economic reasons or convenience of travel arrangements, employment opportunities or tax advantages.
For Tanzania, the main one is fear that many immigrants now in Tanzania; Somalis, Ugandans, Ethiopians,Sudanese, Rwandese, Burundians, etc will apply for Tanzanianc itizenship in large numbers, putting undue economic burden on ournation and displacing more deserving Tanzanian at the workplace.
However, one may argue that with or without dual citizenship, this problem will always be there as long as the East African regions is plagued with conflict and economic hardships. There is no evidencethat allowing dual citizenship would worsen this problem. Second, many foreigners with intent to harm Tanzania (terrorists, economic saboteurs, etc) may acquire citizenship, which would grants themcertain privileges and protections.
However, we think strict background check and tight requirement for foreigners to acquireTanzanian citizenship should be able to minimize this risk.
Q: Is there a way of allowing dual citizenship while minimizing the security problem?
A: Yes. The conditions for Tanzanian-born foreign citizens to maintain their Tanzanian citizenship can be made more lenient, whereas thosefor foreign citizen seeking to acquire Tanzanian citizenship arestricter.
Many countries do this. It may also be argued thatterrorists and saboteurs have developed sophisticated operations,which may not be deterred by denial of dual citizenship. In that case,therefore, allowing fear to guide our national policies does not servea useful purpose.
Q: What about the issue of divided patriotism for dual citizens?
A: There are two aspects to this. Tanzanian-born foreign citizens do not owe their allegiance to Tanzania because they are official citizens on paper. They owe their allegiance because of ancestry and their relatives, and granting or denying citizenship papers can neverchange that. On the other hand, and using the same argument, Tanzaniamust be wary of foreigners who acquire Tanzanian citizenship. It maybe necessary to deny such people certain government positions, for example the Presidency.
Alternatively, a time limit may be set before such people can compete for such position, for example requiring them be Tanzanian citizens in good standing (no legal problems) for 20years before running for President. Parliamentary legislations can tighten such loopholes while leaving the overall benefits of dual citizenship for Tanzanians and Tanzania intact.
Q: What should be the main focus of the MP's, government leaders while taking into consideration the issue of dual citizenship?
A: First, the focus should not be on FOREIGNERS gaining Tanzanian citizenship, instead the merit of Tanzanians abroad that would like to retain their Tanzanian citizenship if and when it becomes necessaryfor them to assume citizenship of another country. Second, by passing that dual citizenship be allowed only by an Act of Parliament and only under certain circumstances, the Committee delegated it'sresponsibility to another authority, in large part due to an unfounded fear that enshrining dual citizenship in the constitution may introduce the possibility of abuse by individuals who would otherwisenot be allowed to become Tanzanian citizens.
Instead, we believe that given the world and times we live in today, dual citizenship should be enshrined in the constitution, but allow the possibility of enactingan act of parliament to prevent possible abuse.
Q: How many countries allow and do not allow dual citizenship?
A: Over 94 nations allow some form of dual citizenship. These includes leading nations such as United States, United Kingdom, Russia, France,Germany, Switzerland, Argentina, South Africa, Canada, Italy, Finland,Mexico, Ireland., Australia, Netherlands, Rwanda, Ghana, Nigeria,Egypt, India. Even Israel, a country with serious security concernsallows dual citizenship.
In East Africa Kenya and Uganda are in the the process of amending Dual citizenship in their Constitutions. About 39 countries do not allow dual citizenship, including China, Denmark, Vietnam, Zimbabweand Tanzania.
I'm one of the Tanzanians who signed the petition for dual citizenship...at this point, If the government decides in our favour, it will be a smart move towards building our country and economy, if they decide to oppose it, i have nothing to lose,I'm an American now, America has done a lot of good things to me that Tanzania didn't do, after all it's a poor country anyway. I hope this message reaches those people in the government.
ReplyDeleteI'm one of the Tanzanians who signed the petition for dual citizenship...at this point, If the government decides in our favour, it will be a smart move towards building our country and economy, if they decide to oppose it, i have nothing to lose,I'm an American now, America has done a lot of good things to me that Tanzania didn't do, after all it's a poor country anyway. I hope this message reaches those people in the government.
ReplyDeleteHapo.. hiyo picha.. ndipo zimemwagwa sh bilioni 200 kkt hizo twin towers za BoT (Michuzi tuwekee picha za twin towers) Sh bilion 200 ni zaidi ya bajeti za wizara 4 za serikali! Halafu nyie mnaandamana kwa ajili ya tushilingi bilioni 12 tu za RADA!... zina macho lakini hazioni...teh teh teh teh! Masikio hazisikii.
ReplyDeleteSamahani naomba nitumie muda wenu kidogo kutoa mawazo yangu binafsi.
ReplyDeleteMimi nadhani nina mtazamo tofauti kidogo. Kwanza tuangalie historia, ni Watanzania wangapi ambao wamewekeza hapa nchini na kuwasaidia kiajira, kiuchumi, na kiafya watanzania walio wengi, ambao walifanikiwa kwa kuwa na uraia wa nchi za nje? Maana ukweli ni kwamba wapo watanzania walio na uraia wa nje ya nchi, ambao wanaishi vizuri tu, na wanapata hicho kizuri wanachokipata, lakini je wamewekeza nchini kwa namna yoyote? Tunakuta kwamba ni hakuna kwa kiwango kikubwa. Sana sana atajenga nyumba, atanunua gari, lakini hakuna mwenye kiwanda, shule wala hospitali hapa nchini ambaye ni raia wa kitanzania aliekuwa na uraia nje ya nchi. kama wapo ni kwa ailimia 1 kati ya 100.
Ukweli ni kwamba wanabanwa na baadhi ya mambo, kiasi kwamba wanashindwa kuwekeza nchini. Au wamejijengea moyo wa kuikana nchi yao na kuichukia tu ghafla. Kwa wale waliooa wazungu, utakuta wengi wao wanabanwa na hao wake zao kiasi kwamba pato la uhakika la kuwekeza hapa nchini linakuwa filtered kwa kiwango kikubwa, na kwa kuogopa ugomvi wa kifamilia na kwa kuogopa kutoa mawazo yao na nia yao ya kuwekeza nchini wanajikuta watumwa wadogo kwa wake zao hao wa kizungu, ukizingatia wamepata huo uraia kutokana na mke huyo.
Pia vile vile kumekuwa na sheria nyingi za nchi hizo za kigeni ambazo zinawabana katika kujaribu kuwekeza zaidi nchini wakiwa kama wazawa wa kitanzania. na kama watahangaika kutaka kuwekeza basi ni kwa kiwango kidogo, tena ikijulikana ni kwamba faida za ile mikopo ya kibenki wanayopewa huko nje inahakikishwa inarudi huko huko kwa kiwango kikubwa mno.
Jambo lingine ni kwamba Watanzania bado wana tabia mbaya ya kuikimbia tu nchi yao, na kukosa uzalendo wa dhati. Kwa mfano utakuta kiongozi wa kitanzania anaiba pesa katika nyadhifa yake, na badala ya kuhakikisha zile pesa alizoiba kujaribu kuwekeza nchini, yeye anaikimbia nchi, na kutaka kuwekeza au kuweka kwenye mabenki ya nje, kiasi kwamba inasababisha mabenki yetu kukosa maendeleo, na mabenki ya kigeni kuendelea kunufaika kwa pesa zilizoibiwa kwa walala hoi na kodi zao. Ukiangalia ni vigogo wangapi wamewekeza kwenye mabenki ya watanzania, kama benki ya wananchi wa DSM, au benki vyama vya ushirika, utakuta ni kwa kiwango kidogo mno.
Ni ajabu kuona eti viongozi wakubwa wa nchi, wanastaafu na kuamua kuishi nje ya nchi, kwa visingizio vidogo vidogo kwamba sijui wanasoma, au sijui wanafanya nini...
Tuangalie mifano ya wenzetu wakenya (watani wa jadi), ambao kwakweli kama ni kuiba ndani ya nafasi, viongozi wao waliopata nafasi walijilimbikizia kweli kweli, na ni kwamba bado wamewekza nchini mwao, na wanaiendeleza nchi yao. Matajiri wa kenya asilimia 70 ni wakenya wenyewe. Na pia hata mzalendo mnyonywaji wa Kenya ana uchungu na Kenya. wana msemo unasema "Nunua Kenya, Jenga Kenya" yaani ukienda Kenya, ukivuka Namanga tu, ujue hata Safari Bia, ni ngumu kuipata, kila bar, mahoteli, hata yale ya kitalii ambayo yanatakiwa yawe na vitu toka nje, huwezi kukuta tone la safari Bia toka Tz. lakini angalia hapa kwetu kulivyojazana vitu vya kenya, na mtu wala haoni aibu kujitamba kwamba nakunywa Tusker beer, eti safari ni ngumu. Huo ugumu wa Safari beer umetoka wapi? ukweli ni kwamba uharibifu wa kazi ufanywao na viongozi, wafanyakazi wao, na hujuma mbali mbali zimeiharibia sifa ya Safari Beer (pride of Tanzania). Tumewauzia kiwanda makaburu, wameua ubora wa Safari, na wakajitahidi kuhakikisha tunaipenda castle lager. Uzalendo watanzania hatuna.
Wazalendo wachache, walioamua kuwekeza nchini, kama akina Reginald Mengi, Iddi Simba, na wengine, wanapigwa vita kila asubuhi, tena sisi wanatanzania tukishangilia. wananyimwa hata tenda, ndogo ndogo, tukishangilia eti, aahh hivi Mengi angeweza kuijenga Kilimanjaro Hoteli kuwa kama Kempisk ya leo? (Huo ni ujinga tulio nao watanzania). Kuna maneno mitaani ya kushabikia mambo ya Manji(mhindi) na Mengi(mtanzania mzawa anaehangaika kutoa ajira, na kuijenga nchi yake).
sasa kwa mifano midogo ya muundo huo, je Watanzania kweli hata wapewe uraia wa nchi zote duniani, wataijenga Tanzania? au watabakia na masifa tu kwamba mimi naishi UK, nimenunua Nyumba UK, wakati ndugu zake tunateseka kwa kuishi kwenye vibanda vya manyasi. Au nimenunua gari la kisasa US, ninaishi sijui kama Puffy, au sijui sasa nina kampuni ya takataka gani huku US, na ukirudi nyumbani unajisikia raha kutuona sisi wenzako tunavyokutetemekea tukikosa hata nauli ya daladala. Kwanini hiyo kampuni yako usiiwekee link na hapa nasi tukapata ajira japo ya kukata majani kwenye bustani ili tusikuombe nauli za dala dala kila ukija. Au unasikia raha tukikuzunguka kukusikiliza, wakati wewe unatununulia bia, na kujitamba?
Mimi sidhani kama Dual citizenship, helps Tanzanians in any way. Till we get out of our brain washed ideas, that beign foreing person is the only thing that can help to raise Tanzania economically and Socially. We need to focus on our problems and ways of solving them using what we have, and who we are at the moment rather than comparing us with other social and cultural groups from else where. Chinees Moral aspects are proved different from Tanzanians.
Naomba kijinafasi hapa Michuzi ili nitoa maoni yangu kuhusu uraia wa nchi mbili.
ReplyDeleteKuruhusiwa kuwa na uraia wa nchi mbili sio lazima umfanye mwombaji aweke vitega uchumi nyumbani kwake. Nikipewa haki hiyo, itaniwezesha niende Bongo bila ya kuomba viza. Hata kama wakikataa, hainisumbui sana. Nilitumia pasi yangu ya Kanada bila ya matatizo, nikapewa visa yangu ya bongo ubalozini hapa Ottawa bila ya wasiwasi hata kwamba pasi inaonyesha wazi wazi kuwa mimi ni mzaliwa wa Tanzania. Mimi binafsi, sisumbuliki na kukaana uraia wa Tanzania kama hatutaruhusiwa kuwa na pasi mbili. Tanzania itakuwa na busara kama ikijitahidi kujisomesha kwa kuwaangalia wenzao walioendelea ampapo wanaruhusu uraia wa nchi mbili. Nchi kama Uingereza, Marekani, Kanada, Australia, na kadhalika. Je, hawa ni wajinga au kuna maana ya kuwaruhusu wazaliwa kuwa na uraia wa nchi nyingine? Kijinchi kama Tanzania kinachodaiawa Bilioni 8 dola, kinachotegemea wazungu kulipa bajeti ya nchi (asilimia 40) tangu uhuru, na hakina hata umeme wa kuaminika wala maji safi, elimu kwa wote wala barabara, unafikiri ikiwanyima raia wake uraia wa nchi mbili, itasumbua akili kweli? Nitarudi kuona familia yangu Bongo lakini sisumbuliki hata sekunde kama leo wakiamua tuchague uraia wa nchi moja (unajua nitachagua uraia gani).
Mvuvi nimesoma maandiko yako kwa makini sana na kurudia tena. Kwa bahati mbaya sana hujaandika kitu chochote cha maana (kama hoja yenye nguvu) kuhusiana na suala la uraia wa nchi zaidi ya moja. Umekuwa na maelezo mengi lakini "POINTLESS".
ReplyDeleteNakushukuru kwa kuonyesha nia ya kuchangia na nina kushauri uendelee kujihabarisha zaidi juu ya suala hili kupitia blogu hii na njia nyingine.
Michuzi asante kwa picha. lakini hapa mbona unapotosha umma? Kwani ni nani asiyejua kuwa hapo Benki panajengwa kwa hivi sasa? Basi picha iendane na maelezo hayo. Mtu akiwa huko nje anajua kuwa hivi ndivyo gate la Benki kuu lilivyopangwa kuwa. Mbona hujapiga kabla ya ujenzi tukajau moja? Hapa unaleta uchochezi usiokuwa na maana kwa wale watu ambao hawawezi kupita hapo na kujua kwa nini hali ipo hivyo kama inavyoonekana. Ungefika wakati ule walivyopanga macontainer kwa ajili ya kuzuia watu wasiumie kutokana na ujenzi si ndiyo ungesema kuwa Benki Kuu ni macontainer? Na kwa wale wenye munkarui usio na maana ndiyo wangesema pesa zote zimeishia huko kwenye containers. Lets be fair jamani. Nadhani ili uwe fair, picha kama hizi uzitolee maelezo ya ziada. Tukupe muda labda mpaka June labda hawa ndugu zetu watakuwa wamemaliza ujenzi basi ukapige picha ili na sisi tujidai na Benki yetu. Hii tabia ya kujiddarau jamani sisi Watanzania tuiache. Hata Roma haikujengwa kwa siku moja na hata kama ilikuwa hivyo, haiwezekani basi siku hiyo hiyo kila kitu kikawa nafasi yake. With respect naomba uone mawazo yangu kuwa ni ya maana na uyafanyie kazi. Mcheza kwao hutunzwa ndugu yangu!! Usimdharau mama na vazi lake chafu anapotoka shamba basi ukasema huyu si mama yangu eti mpaka akaoge na kubadilisha nguo. Hata hivyo nakupongeza kwa kazi zako nyingine zote nzuri. Asante sana kaka.
ReplyDeletehe usipotoshe huo ni mlango wa muda si ilivyo, wote twajua kunajengwa hapo. bwana usije kutukosesha wafadhili wa kizungu wakadhani tumeiba fedha zao. ala!
ReplyDeleteMzazi hamtupi mwana - I rest my case.
ReplyDeleteMvuvi hoja uliyoitoa ina maana na asikuzingue mtu yeyote,mawazo yako yana msingi tosha tu.Ukweli ni kwamba sababu zote ambazo zimetolewa hapo juu kwenye hoja za kuruhusu uraia wa nchi mbili hazionyeshi uzito wowote wa kimsingi kwa taifa letu.Zaidi ya "personal gain" kwa mtu mmoja-mmoja hakuna msingi wowote wa uraia wa nchi mbili kwa sasa.Hakuna evidence mahali popote inayoonyesha kwamba eti Watanzania walioko nje ya nchi watakuwa na nafasi nzuri zaidi ya kuwekeza kama watakuwa na uraia wa Tanzania na wa nchi waliyopo sasa hivi.Hiyo ni gimmick tu,kuwekeza Tanzania hakurahisishwi na uraia wa nchi mbili bali kuwa na uzalendo wa kweli ikifuatiwa na confidence katika kile mtu anachotaka kukifanya.Watu wanapigapiga kelele kuhusu uraia wa nchi mbili sanasana ili wasisumbuliwe kutafuta viza za kusafiria kutoka nchi moja kwenda nyingine kitu ambacho kinasumbua Waafrika wengi wenye rangi nyeusi hasa wanapotaka kusafiri kwenda nchi za Ulaya na America ya Kaskazini.
ReplyDeleteHebu hiyo website inayodai kukusanya hoja za uraia wa nchi mbili itupatie majina ya Watanzania waliokataliwa kuwekeza Tanzania au waliopata ugumu ambao utaondolewa pindi watakapopata pasipoti ya pili kutoka nchi nyingine.Hiyo list ya nchi zinazoruhusu uraia wa nchi mbili ichunguzwe vizuri,haina maana kwamba mazingira ya hizo nchi yanafanana na ya kwetu,msipende kuiga kila kitu bila kuwa na uhakika thabiti wa undani.
Kuna issues mbalimbali za kuzingatia mfano,je Tanzania ina uwezo wa ku-control crossborder/international crime inayohusisha raia wake? Mtu mwenye pasipoti mbili akifanya uharamia Tanzania,je hiyo nchi yake nyingine itakubali kumkamata na kumrudisha Tanzania ili ahukumiwe na ikiwezekana atumikie kifungo chake nchini kwetu?
Hii issue siyo rahisi kama wanaoishabikia wanavyoi-present,yapo mambo mengi tu yakuzingatia ambayo swali lazima liwe lilelile kwamba Tanzania itafaidika hasahasa kivipi kama taifa na siyo kama familia au ndugu na jamaa za wenye uraia wa nchi mbili.
India, pakistan to name a few have resorted to dual nationality because they have seen other countries benefiting from such policies. My main concern to bongoland and wabongo in general is their resistance to change. that type of legislation has potential to bring best to TZ economy because they have been tested in other countries, and they have work! Lets give it a positive look and try analyze possible outcomes without rushing to conclusion. you dont need to to know who is who si mpaka awe mto wa kigogo !!!
ReplyDeleteWewe annomy hapo juu na Mvuvi wote ni wavivu, msiandike blah-blah hapa, tuelezeni ni madhara gani yanayopatikana kwa nchi zilizoendelea zinazotumia utaratibu wa uraia wa nchi mbili. Mvuvi ameandika POINTLESS na wewe unaunga mkono bila ya kuangalia ameandika nini. Amka na uchangamke, utueleze ubaya uko wapo, don't think of personalities, fikiria masuala ya nchi hii for the next generation. Au unataka tufanye makosa ya kuukalia uchumi wetu kama siku za nyuma ili wageni waje wafaidi kama ilivyo sasa?
ReplyDeleteAnony 5;01;07:
ReplyDeleteinternational crime inaendelea bila kujali kama Tanzania ina uraia wa nchi mbili.
Extradition treties/protocols/laws zipo siku zote. Kuna nchi nyingi zenye uraia wa nchi mbili lakina hazina mikataba ya kubadilishana wahalifu.
Kwa mfano wahalifu wa kalamu wakikimbilia majorca/hispania hawawezi kurudishwa walikoiba. Kuna waingereza (wenye uraia wa nchi mbili) majambazi waliokimbilia brazil hawakuweza kurudishwa uingereza.
Hivyo uraia wa nchi mbili na kazi za interpol au kubadilishana wahalifu siyo hoja nzito.
Sijaelewa unaposema mtu anatakiwa awe na confidence ya kuwa na uraia wa bongo tu au ughaibuni pekee. What confidence r u talking about?
'first develop' ndio haya mambo ya dual citizenship tuanze kuyafikiria,.tatizo ni kwamba we are too obsessed with kujilinganisha na nchi kama Marekani, UK et al,.,sisi ni masikini,.hizi nchi nazo pia hazikuendealea kwa dual citizenship. kwa mf. Nigeria.,,kana nchi yako; lakini jua kwamba huko uliko unaishi as a '2nd class citizen',.,..
ReplyDeleteWatanganyika majinga sana mtadanganywa mpaka lini. Mimi sikuamini kabisa kuona watanzania wengi wamepiga kitabu ile mbaya kule Marekani, Kanada na Uingereza na watu hao wanaheshimika sana nchi hizo sio hapo tu kuna watanzania wana makampuni zao makubwa sio ya kufagia bali ni ya teknolojia na wana pesa ile mbaya, sasa watu hawa kwanini tusiwape uraia wa nchi mbili? Watu hawa hawana shida yeyote ile wamesha panchi. Mtu hawezi kuja kuwekeza Tanzania kwa kuwa yeye ana uraia wa Marekani akija nyumbani ananyanyaswa sana na anapewa masharti kama vile yeye ni Mjerumani wakati yeye kitovu chake kimezikwa kule Shinyanga na anakiongea kisukuma kinaganaga. Kitu cha kuchekesha ni kwamba Mwaka jana mwezi wa kumi nilirudi Nyumbani TZ kufika pale Uwanja wa ndege DSM nilimuuna Mtanzania mmmoja akiwa na Pasi yake ya Bongo ile yenye picha ya Adam na Hawa akinyanyaswa na maofisa wa Uhamiaji anaulizwa alienda kufanya nini huko ulaya angawa ana kibali halisi cha kuishi. Watu wote tulipita tulimwacha pale peke yake sijui yaliomkuta masikini mimi nilimuonea huruma sana. Lakini Wahindi waarabu kutoka Jemeni wanakaribishwa karibuni sana Tanzania, watu wale hata kiswahili hawajui. Mimi nikapita bila ya wasiwasi wowote ule na pasi yangu ya majuu yenye visa ya Bongo. Yule Mtanzania kweli atajivunia kweli kama yeye ni Mtanzania? Badala ya kukaribishwa kurudi nyumbani anatolewa "Michuzi" na watu wenye wivu. Wazungu walihamia Afrika, Australia,Amerika ya kusini kutafuta maisha kwanini Watanzania tusijitafutie Elimu na pesa kama vile Wareno walioenda Angola Waholanzi (Makabulu) Afrika kusini Waingereza Australia n.k. Watu wabongo wanaogopa kama wataruhusu urai wa nchi mbili watu watarudi nyumbani na kuwanyang'anya vyeo vyao na watashindwa kudanganya na kuiba kwa kuwa wasoni ni wengi. Sweden walikataa kata kata kuruhusu uraia wa nchi mbili lakini walipoona waswidishi matajiri wengi walichukua uraia wa Marekani na wachezaji wao wa Hoki ya barafu walichuhua pia urai wa marekani. Kisheria watu hawa hawarusiwi kuichezea au kuwekeza Sweden walibadili sheria kwa wiki mbili tu. Waliona nchi inapata hasara kwa ujinga. Je kwanini Tanzania isibadili sheria hiyo? Nchi yeyote hawezi kuendelea bila wasomi, Tanzani badala ya kwenda Mbele sisi tunaenda kisengele nyume. Mfano mzuri wakoloni wametuachia mataa mitaani lakini baada ya miaka 40 mitaa yote imekufa ukipita na ndege usiku utajua kama miji hakuna tuwashukuru watu wanaowasha taa za nyumba zao. Kama watu wengine wanaruhusu wasomi wao warudi nchini kwao kwani wao ni wajinga? Kama Kenya Waziri Koigi wa Mwamwere ni raia wa Norway na Zimbwabwe walikuwa na Waziri wa fedha ambaye ni raia wa Kanada. Tanzania tutakuwa taifa la mwisho kama hatuwatumia Wazalendo wetu wenyewe tunategemea Wahindi Waarabu Makaburu eti Bongo mambo kama mtoni kama mtawachukiza watahamisha mali zao na kuzipeleka nje mtarudi nyuma kama zile enzi za mababu zetu. Wabunge ambao ndio wanakiwa kutunga sheria au kutoa miswada hawajamaliza hata sekondari watawezaje kukontoli bei ya umeme simu mafuta kama wenyewe ndiyo wanaomiliki makampuni ya Mafuta n.k Mtu anamchagua mbunge kwasababu ya kuwa wamepikiwa pilau aibu sana Wabongo amkeni hii ni karne nyingine mambo mengi yamebadirika. Tena tumshukuru sana Mzee Ruksa bila yeye hata TV tusingeiona sijui hio Manchesta Unaitedi tungeionea wapi? Mpaka leo tusingeijua dola ukionekana nayo na dola kumi tu wewe unaambiwa unahujumu uchumi. Karne hii ya leo nchi inahitaji wasomi wazalendo si kubahatisha bahatisha tu
ReplyDeleteMwanangu Michuzi niwekee mchango wangu wa senti bee katika huu mjadala muhimu katika maendeleo ya nchi yetu. Tafadhali usinitie kapuni.
ReplyDeleteHuyo mvuvi ana uwezo finyu wa kuchanganua mambo. Kwa Watanzania waishio nje kuchukua uraia wa nchi nyingine haimanishi kwamba wanaichukia Tanzania. Utaichukiaje nchi ambayo kuna wazazi wako, ndugu zako wa kuzaliwa tumbo moja, Babu, Bibi, Wajomba na akina shangazi na ndugu na jamaa chungu nzima!! Nini hasa kitakachokufanya uichukie Tanzania!? Pamoja na matatizo tuliyonayo Watanzania wengi wetu tunaipenda sana nchi yetu, hata walio nje wanaipenda Tanzania.
Kuwekeza siyo lazima uanzishe hospitali au kiwanda, hata ukijenga nyumba huko ni kuwekeza maana unacreate jobs, mfano ukijenga nyumba ya thamani ya $100,000 ambazo ni equivalent na T.shs 100,000,000 inabidi uajiri wajenzi inabidi ununue vifaa vya ujenzi vinavyotengenezwa Tanzania hapo umeshawekeza. Ukimsomesha ndugu yako na kisomo hicho kikampatia kazi ya maana inayomwezesha kulipa kodi na kujitegemea, huko pia ni kuwekeza. Hebu fikiria Watanzania 100 waishio nje waamue kujenga nyumba zao zenye thamani ya $100,000 kila mmoja unajua hicho ni kiasi kikubwa sana cha pesa equivalent na Tshs 10,000,000,000 {$1=Tshs 1,000} huko nako ni kuwekeza.
Kuwezekeza Tanzania kama mgeni kuna taratibu (procedures)chungu nzima na makodi kibao lakini ukiwekeza kama Mtanzania taratibu ni chache mno na kodi zina ahueni sana.
Mwaka 2004 jirani zetu wa Kenya walipata DFI (direct foreign investement) $47,000,000 tu lakini Wakenya wanaoishi nchi za nje walituma kiasi cha $447,000,000 ambacho ni sawa na mara kumi ya DFI. Huku nako ni kuwekeza, maana hizo pesa zilicreate kazi chungu nzima na pia kuboresha maisha ya Wakenya wengi waliotumiwa pesa hizo. Hebu niambie utawakana vipi Wakenya kama hawa kwamba sio raia na wanatuma pesa chungu nzima nchini kwao ambazo zinasaidia kuinua uchumi na hali ya maisha ya Wakenya wengine!?
Watanzania wengi wanaochukua uraia wa nje wanafanya hivyo ili waweze kucompete kwenye kazi mbali mbali kwenye private companies na serikali za nchi hizo. Sasa hivi baadhi ya makampuni hayaajiri mtu mpaka awe ni raia wa nchi hizo na kazi za serikalini ndiyo kabisa ni vigumu mno kupata hata kama unaqualify kama huna uraia wa nchi hizo basi kazi hutaipata. Na baada ya hali ndiyo imekuwa ngumu mno.
Acheni ntimanyongo (roho mbaya). Zipo sera mbali mbali ndani ya Tanzania ambazo hazimgusi kila mtu. Kwa mfano kuna sera ya kuwalipa vizuri madaktari na wahandisi ili waendelee kufanya kazi nchini. Hivyo hakuna ubaya wowote kama uraia wa nchi mbili utaruhusiwa ili kuwavutia Watanzania walio nje kuwekeza Tanzania kwa njia moja au nyingine.
Watanzania lazima tujiulize wenzetu wa nchi kama za Uingereza, Marekani, Canada, Ghana, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi n.k. wameona mafanikio gani mpaka kuruhusu uraia wa nchi mbili? Hivi wao hawayaoni hao matatizo ya 'kuichukia' nchi kama inavyodaiwa na anony hapo juu.
Wakati umefika sasa wa kwenda na dunia ya Utandawazi, dunia ambayo wananchi wako wanaweza kuwa mahali popote pale duniani na bado wakajiona na kujivuna kwamba wao ni Watanzania. Tuache umimi na ntimanyongo, kwamba kila policy ya Tanzania lazima imguse kila mwananchi. Roho mbaya haisadii Tanzania wala Watanzania.
Idadi ya Watanzania wanaoishi nchi za nje itazidi kuongezeka kila mwaka kwani waliotangulia wengi wamejenga sifa nzuri ya kwamba Watanzania wengi ni wasomi, wachapa kazi hodari na si wavunjaji wa sheria ukiondoa asilimia chache ya wahuni. Hivyo badala ya kuwapoteza hawa wazawa kwa policy za mwaka 47, wakati umefika sasa wa kutambua umuhimu wao mkubwa katika kuchangia maendeleo ya Tanzania na pia kuwa kama mabalozi wa kuitangaza Tanzania popote pale walipo badala ya kutoa kashfa zisizo na kichwa wala miguu kwamba wanaichukia Tanzania, ni wasaliti au ni majasusi.
Tanzania siyo kisiwa kwa kuwa wagumu kwenda na wakati tunaweza kukuta tumezungukwa na majirani ambao wote wameruhusu uraia wa nchi mbili na tukawa nchi za mwisho kubenefit katika hii trend mpya ya uraia wa nchi mbili.
Simama Dede.
Mimi kama raia wa nchi mbili, nimekwenda Tanzania na pasi yangu ya Kanada, nimelipa ubalozi dola 50, nimetumia dola 2500 Tanzania kwa muda wa wiki mbili. Je, kama huu sui mfano wa kusaidia uchumi wetu sijui nisaidie vipi.
ReplyDeleteMimi binafsi ni bora niishi nje kama 'second class' lakini watoto wangu wanasoma vizuri, maji na umeme upo, sheria za kunilinda bila ya kutoa rushwa zipo, na nina nyumba na gari pamoja na pension nzuri. Nimesahau barabara zetu hazina mashimo size ya gari langu. Tukiacha ujinga Tanzania tutafika mbali, lakini kama wanavyosema watu wengine hapa, tunataka ku-analyse kila kitu utasema sisi ni taifa lisilohitaji msaada wowote. Kama bado tunaomba kulipa bili za nchi, hatuna uhuru bado, uhuru wetu ni wa jina.
Jamani, mtazamo wangu haukua kwamba wanaotaka uraia wa nchi nyingine wanaichukia Tz. Pia mkumbuke kwamba kuona au kusoma au kuwekeza nchini mwako si lazima uwe na uraia wa nchi hizo mnazoziita zimeendelea.
ReplyDeleteUnaweza ukawa na access ya kusafiri, kusoma, kufanya kazi kwenye nchi hizo lakini bado ukawa raia wa Tz. na ukawekeza vizuri sana tu nchini mwako.
Madhara ya dual citizenship tumeyaona mwaka jana na mwaka juzi, France wakati hao raia wa nchi mbili toka Ghana na Nigeria mlizozitaja hapo juu, walipokuja juu kwa kunyanyaswa, na kubaguliwa wakiwa raia wa Ufaransa, kisa tu hawajazaliwa Ufaransa au wana asili ya Africa.
Kitu kingine, ni kwamba Tanzania bado hata vitambulisho vya uraia, na kujua kwa uhakika kabisa nani ni raia na nani si raia, bado serikali ya Tz haijui kwa umakini. sasa kwanini tusiimarishe uwezekano wa kuwa na vitambulisho vya uraia, kila raia awe na pass ya kusafiria, kila raia apewe uwezo wa kusafiri bila kubughudhiwa, leo hii tukimbilie kuwa na raia wa nchi mbili, ambapo tutakaribisha wageni kibao ambao wameshaharibu sana huko kwao na kutaka uraia wa Tz kiurahisi tu.
Kuna mtu anadai kwamba ukiwa Mtanzania na unataka kuwekeza hapa nchi unanyanyaswa, hilo si kweli, mbona makaburu wanawekeza vizuri tu hapa nchini na hawana uraia? wewe kama unajisikia kuwa raia wa Canada, ukane utanzania, endelea kuwa mcanada, then njoo uwekeze tu hapa nchini.
Tatizo kubwa watanzania walio wengi hawana moyo au morali wa kutaka kuwekeza kwao. jamaa hapo juu ameelza vizuri kwamba wakenya toka nje ya kenya wametuma pesa kibao kwa ajili ya nchi yao. hilo mbona tunaliona kwa wenzetu wachina, wasomali nk. lakini tuangalie je, ni watanzania wangapi wanaoingiza pesa za kigeni kwenye benki zetu? na je benki zetu zimepewa access kiasi gani katika kushugulikia raia wetu walio nje ya nchi?
Mi nadhani tusikimbilie mambo kwa kuiga UK au Canada au US, wao walianza zamani, na wanaweza kucontrol migration, sisi tumejaa rushwa, leo hii tutaweza kucontrol uraia wa nchi mbili?
Karibu bwana Isaac-dar es Salaam.
Wewe mvuvi ni mvivu wa kuelewa mambo, naona hata kusoma hizo jumbe husomi kabisaaaaa. Unaelekea kuangalia negative side ya uraia wa nchi mbili.
ReplyDeleteKwa hiyo Tanzania kama imejaa rushwa, basi uraia wa nchi mbili usiruhusiwe. Tunataka kuiga kila kitu cha nje kukaribisha wawekezaji, kuwa na muda maalum wa kukaa madarakani, kuwa na uwazi kwenye maamuzi mbali mbali ya serikali ili kujenga imani za wananchi kwa serikali zao, lakini inapokuja kwenye uraia wa nchi mbili TUSIIGE!!! ama kweli uwezo wako wa kuchanganua mambo ni finyu sanaaaa. Acha ntimanyongo kaka. Fumbua macho uone dunia ya leo siyo ile ya mwaka 47, maendeleo ya nchi yanaweza kuchangiwa kwa namna mbali mbali na siyo lazima mchangiaji awepo ndani ya nchi.
Kama nchi nyingine zinaruhusu uraia wa nchi mbili sioni kwa nini Tanzania nayo isiruhusu, mafanikio yake ni mengi mno kuliko hasara. Tatizo la kutotoka nje ya nchi na kuiona dunia ndio hili linakufanya uangalie sana negative side ambayo impact yake ni ndogo sana.
Wewe mvuvi ni mwanga(rohombaya) tu huna lolote unalolieleza hapo kwanza mfano wako wa France hauhusiani na dual citizenship.Pili hao makaburu wanawekeza hapo ni vile corruption imeshamiri ndo maana wanafanya hivyo hakuna wenye upendo na tz hapo,kwa hiyo ni bora wasukuma,wazaramo,wahaya ambao ni watz damu wenye uraia wa nchi nyingine wakapewa hizo nafasi na sio hao unaosema makaburu,na ndio maana watu tunataka dual citizenship,period.
ReplyDeletesimple nikiwa nje natumia passport ya huku nikirudi natumia ya tanzania. Hapa wana ruhusu dual citizenship. Shauri yenu
ReplyDeleteKama alivyosema Rwechungura hapo juu hilo ndilo la msingi,kwanza tupiganie maendeleo ndiyo mambo ya uraia wa nchi mbili yaje.Kuna mtu ametaja mfano wa vitambulisho hapo na kusema hata nani raia halali na nani siyo serikali haijui,huo ni ukweli kabisa.Tanzania lazima kwanza tuweke system inayofanya kazi katika sekta zote za kijamii na kiuchumi ndiyo mambo mengine kama ya uraia yafuate.Hali yetu ya sasa kiuchumi na kijamii bado ni changa sana kwa watu kudai eti taifa litanufaika na uraia wa nchi mbili kwa mitazamo wengi wanayoitoa.Kuhusu urahisi wa kuwekeza ukweli ni kwamba sheria ziko na zinaeleweka kwa wawekezaji wa ndani na wa nje,watu msidai kwamba eti uraia wa nchi mbili utakuza uwekezaji,siyo kweli.Je nchi ambazo hazina uraia wa nchi mbili zina uwekezaji duni? I don't think so!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteWatanzania wasomi (matunda ya kujivunia ya Baba wa Taifa. Duuh! Baba wa Taifa aling'atuka miaka 22 iliyopita lakini matunda ya sera zake za elimu leo hii yanang'ara dunia nzima toka Africa, mashariki ya mbali, Ulaya na Amerika. Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi~AMEN) kamwe hawataacha kwenda kutafuta ajira nchi za nje. Kwani wamegundua kwamba inalipa sana kufanya kazi nje ya nchi. Huna haja ya kukingiwa kifua na mtu, kuwa na God Father, kutoa rushwa au kumlamba "mkubwa" miguu ili mambo yako yanyooke.
ReplyDeleteHata majuu kuna scandals, lakini uzuri wa huko waliokuwa madarakani wakiboronga basi uchaguzi ukija wanawekwa pembeni na chama kipya kinachaguliwa. Siyo Bongo hata CCM wakiboronga vipi bado wanapeta tu mwaka hata mwaka. Majuu hata mkubwa namna gani akiboronga anasweka ndani bila woga maana sheria ni msumeno, mfano rais wa Israel kafunguliwa mashtaka kwa kumkamata binti wa watu kwa nguvu na kumnaninoo. Bongo hili haliwezekani kabisa.
Angalia Bongo kasheshe kibao lakini bado watu wanapeta tu. Wahindi wamechukua 15 bilioni kwa ununuzi wa rada, (sijui katika ununuzi wa ndege ya rais walichukua ngapi) na ushahidi wa kutosha upo lakini bado wako mtaani wanapeta. Angalia wale makaburu walioletwa kuja "kuibadilisha' Tanesco wamelipwa mabilioni na wameiacha Tanesco katika hali mbaya kuliko hata ilivyokuwa mikononi mwa wazawa. Waliowaleta wamekaa kimya wanakula kobisi kama hawakuhusika kabisa. Angalia mikataba ya madini, Tanzania kama nchi tunaambulia asilimia 3 tu! hao "wachukuaji" wanaondoka na 97%!! Wakati nchi kama Botswana mgao ni 50% kwa 50%. Kulikuwa na haja gani ya Mkapa kununua ndege akiwa amebakiza miezi michache kumaliza awamu yake!? Matatizo ya maji na umeme Tanzania nzima ni ya kudumu, hakuna improvement yoyote kila mwaka. Kwa nini viongozi wetu hawatafuti uvumbuzi wa kudumu wa matatizo haya!? Haya yote ni sababu tosha kabisa za kuondoa chama madarakani ili kijue kwamba ukiwa madarakani lazima uwaheshimu wapiga kura.
Hao makaburu wanakuja kuwekeza au wanakuja kuchukua!? Wamenunua NBC kwa bilioni 15 lakini hakuna ushahidi wowote kama malipo ya ununuzi huyo yalifanyika kutoka serikalini au kwa hao makaburu pamoja na kuwa miaka chungu nzima imepita. Tangu makaburu waingie nchini kitu gani ambacho wanachokifanya kinainufaisha Tanzania!? NBC wananunua hata pencils wananunua toka SA, profit yote wanabeba kupeleka kwao. Wale makaburu wa Tanesco sina haja ya kurudia walichokifanya pamoja na kuingizwa Tanesco kwa mtutu wa bunduki na kulipwa mabilioni.
Kwa kumalizia Watanzania wasomi wataendelea kuondoka tu, whether uraia wa nchi mbili unaruhusiwa au la kwa sababu wamegundua kwamba kuna nchi ambazo elimu yao inathaminiwa na inalipa vizuri tu. Kama Tanzania inawajali na kutaka wachangie kwa urahisi maendeleo ya nchi basi uraia wa nchi mbili utaruhusiwa, vinginevyo tutaendelea kuwa na sera zetu za kila siku za "kichwa cha mwendawazimu" na kuendelea kupoteza wasomi wetu na wakati huo huo kuwanyima nafasi ya kuchangia maendeleo ya Tanzania kirahisi. Cha kushangaza viongozi wetu wanapokwenda nchi za nje mbali mbali wanatafuta muda wao ili wakutane nao kuongea mambo mbali mbali ya Tanzania ikiwa pamoja na kuwashawishi wawekeze nyumbani. Nawapongeza sana viongozi wetu kwa hili. Lakini kinachonishangaza hawataki kurahisisha uwekezaji wao kwa kuruhusu uraia wa nchi mbili.
Firigisi.
Ngudu firigisi hapo juu, napenda kukuambia kuwa Nyerere hajanisomesha hata darasa moja. Angenisomesha basi nisingejua kiingereza cha kuandika mitihani ya vyuo vikuu wala nisingepata scholarship ya kusoma elimu ya juu. Ndio kuna wale wamesomeshwa na serikali lakini ukisoma barua za maoni magazetini au Kiingereza cha madarasani hapo mlimani utaona kabisa kuwa watanzania wamepotea ikija kwenye lugha ya kiingereza. Kuna wadau watapinga kuwa kiswahili ni muhimu zaidi, lakini mimi nasema elimu bila ya kiingereza haukupeleki mbali. Na tupende au tusipende lugha hiyo ni muhimu kuliko ya kiswahili kwa kuwa ni lugha ya kimataifa ya biashara.
ReplyDeleteNyerere pia aliifunga nchi na kuitawala kama koloni lake bila ya kutupa haki zetu za kuchagua chama tunachokipenda kitutawale. Kama watanzania wangepewa fursa ya kuwa huru tungekuwa mbali kiuchumi na kimaaendeleo. Mimi ni mmoja wapo wa watanzania ninalaani kutawaliwa na dikteta kama Nyerere, japokuwa kama binadamu ni mtu aliyependa wananchi wake lakini hakupenda kuwapa uhuru wa mawazo wala siasa. Mkumbuke tu juzi juzi tu tuliiruhusiwa kuwa na dola mfukoni na kwenda nje, juzi juzi tu tulikuwa tunapiga foleni madukani kununua sukari na mchele robo kilo kwa familia.
Tatu, kuhusu uraia wa nchi mbili, hausaudii kitu kiuchumi Tanzania, sisi tuliokwisha amua kukaa nje na pasi mbili, maisha ni mazuri zaidi huku, sijui kama kuna mtu hapa Kanada anataka kurudi kwenye nchi isiyokuwa na umeme wala maji safi kwa sasa. Tukitaka kurudi tunatumia pasi ya Kanada, so sioni maisha yangu yatabadilika vipi wakituruhusu kuwa na pasi mbili, sana sana, nitasave dola 50 ya viza.
jamani, kwa hili, mimi kwa mtazamo wangu wacha niwe mwanga, ntimanyongo nk.
ReplyDeleteLakini wote tunaijua serikali hii ya CCM na rushwa yake, maovu yake nk. sasa leo hii mnataka tuwape rungu lingine la kutuletea mambo ya Loliondo, Maganzo nk. Au hamjui kwamba hiyo Dual Citizenship mnayoililia itawaua zaidi wabongo badala ya kuwajenga?
Msiangalie tu kwasababu wewe uko Nje ya nchi sasa hivi, so unauhitaji uraia huko, angalia bibi, babu, mjomba, mtoto wa kaka yake shangazi yake mama nk waliopo huku vijijini ambao hawatakuwa na uwezo kamwe wa kuwa kuomba uraia nchi zingine, na kubaki wakibanwa na wasomi wa nchi zingine ambao watakuwa na uraia wa hapa kwetu. hawatapata nafasi kabisaa, kwakuwa serikali ya CCM ya sasa haijawapa nafasi, then iwajazie wageni waliosoma wenye uzawa wa nchi nyingine na kuja kuomba uraia hapa kwa sababu tu ya manufaa yao binafsi (kama nyie mnaolilia kuwa raia huko kwa manufaa yenu binafsi.)
kama wewe uliye nje umeikimbia nchi yako, na kuwaogopa makaburu wanaojazana kuwekeza na kuvuna nchi hii, unadhani pale utakapowaruhusu hao maburu wawe raia kabisa wa Tz na kwao kusikojulikana, wewe utaweza hata kurudi tena nchi hii? Kama wasomali wanajazana Temeke na kutembea na pass za Tz wakiwa hata kiswahili hawajui, wahindi walio na pass za Tz wanatoa rushwa na kusimamia hata ununuzi wa Rada ya serikali ya Tz. je unadhani wanaijenga Tz au wanainyonya na kuijenga India? sasa leo hii tuweke sheria ya kuwaruhusu hao wawe kwa mamilioni hapa nchini hao wasambaa, wandendeule na wasandawe unaowapigia kelele watakwenda hata shule? au unataka watu hawa waishi kama wakimbizi ndani ya nchi yao?
Kama ni kwenda nje ya nchi ukiwa msomi, nenda, kafanye kazi, kasome nk, lakini ukiwa raia wa Tz. au hata ukiukana uTz, we ukane, sisi tunajua wewe ni mwenzetu tu, na pia ukiwa na moyo wa kuwekeza utawekeza tu. Acheni ubinafsi, kisa nyinyi mnataka kuwa na uraia wa nchi mbili. Mbona kama ni pass za nje ya nchi tunazitumia tukiwa hapa nyumbani mnaendelea kutumia za Tz? hakuna anayekubugudhi, ni wewe tu na nia yako ya kuijenga Tz. hakuna haja ya kuishurutisha Tz iwe na sheria ya Dual citizenship wakati inashindwa hata kusimamia maendeleo ya wananchi wake.
Katika karne hii, mji kama Dar bado kuna vipindupindu, wagambo wanapiga wamachinga hovyo, wamachinga hao hao wanafukuzwa kati kati ya mji, na kuruhusu wageni kufanya biashara kati kati ya mji. Mimi nilidhani wamachinga wapewe moja ya majengo makubwa yenye ghorofa kadhaa(kati kati ya mji) ili iwe rahisi kutoa huduma zao kwa wafanyao kazi mjini, pia kulipa kodi, nk. lakini utaona jengo linajengwa kubwa na kufanywa parking tu ya magari ya wageni. hawawafikirii kabisa wanaoujenga uchumi kwa haba na haba. Unawafukuzia wamachinga kigogo sambusa, unaleta vipindu pindu kigogo. Unahamisha takataka Posta, unazimwaga kigogo. kwanini usitafute njia ya kuwaweka hapo hapo posta kwa umakini na utulivu? Then Dual citizenship, si ndio machinga watatimuliwa nchini kabisa?
Kwani Dual citizenship itaondoa rushwa? itaiondoa CCM madarakani? Itairekebisha CCM na viongozi wake? itawajali wakulima na wavuvi tulio wengi? kama kuna mtu atanambia jinsi ambavyo dual citizenship itasaidia kuondoa mataka taka yaliyojaa kwenye serikali yetu na viongozi wake waliozoea kubebana anambie. Tunajua woote mnaoshabikia uzembe huu wa Dual citizenship ni watoto na jamaa wa hawa vigogo, ndo maana mnataka kuendelea kubunya kiulaini, tumestuka. Tunataka elimu ya kweli kwa wananchi walio wengi, ili kila mmoja ajue nini anahitaji, na siyo kulazimishia mambo tu, kama ambavyo yanataka kulazimishiwa ya East Africa.
TWENDE SAWA....
AHSANTE SANA MVUVI KWA KUNIOMBA NIRUDI TENA KUCHANGIA. LABDA NIAANZE KWA KUKUULIZA UNAUZOEFU GANI WA KUISHI NJE YA TANZANIA NA KWA MIAKA MINGAPI? JE, UNADHANI ZAIDI YA WATAFITI WA MASUALA YA DUAL CITIZENSHIP NA WATANZANIA WANAIOSHI AU WALIOSHI NJE YA TANZANIA, NANI MWINGINE ANAYEWEZA KUKUELEZA FAIDA AU HASARA ZA DUAL CITIZENSHIP?
ReplyDeleteNIKIANGALIA SABABU ZAKO ZA MSINGI ULIZOTOA KATI YA MICHANGO YAKO MIWILI, KWANZA NI SABABU DHAIFU, PILI, UMESHINDWA KUTETEA SABABU ZAKO ULIVYORUDI KWA MARA NYINGINE.
HEBU JIKUMBUSHE STRONG POINTS ZAKO HAPO CHINI UONE MWENYEWE IPI NI HOJA YENYE NGUVU.
’Jambo lingine ni kwamba Watanzania bado wana tabia mbaya ya kuikimbia tu nchi yao, na kukosa uzalendo wa dhati. Kwa mfano utakuta kiongozi wa kitanzania anaiba pesa katika nyadhifa yake, na badala ya kuhakikisha zile pesa alizoiba kujaribu kuwekeza nchini, yeye anaikimbia nchi, na kutaka kuwekeza au kuweka kwenye mabenki ya nje, kiasi kwamba inasababisha mabenki yetu kukosa maendeleo, na mabenki ya kigeni kuendelea kunufaika kwa pesa zilizoibiwa kwa walala hoi na kodi zao.
• ’Tuangalie mifano ya wenzetu wakenya (watani wa jadi), ambao kwakweli kama ni kuiba ndani ya nafasi, viongozi wao waliopata nafasi walijilimbikizia kweli kweli, na ni kwamba bado wamewekza nchini mwao, na wanaiendeleza nchi yao. Matajiri wa kenya asilimia 70 ni wakenya wenyewe. Na pia hata mzalendo mnyonywaji wa Kenya ana uchungu na Kenya.’
• ”Wazalendo wachache, walioamua kuwekeza nchini, kama akina Reginald Mengi, Iddi Simba, na wengine, wanapigwa vita kila asubuhi, tena sisi wanatanzania tukishangilia. wananyimwa hata tenda, ndogo ndogo, tukishangilia eti, aahh hivi Mengi angeweza kuijenga Kilimanjaro Hoteli kuwa kama Kempisk ya leo”?
• ’sasa kwa mifano midogo ya muundo huo, je Watanzania kweli hata wapewe uraia wa nchi zote duniani, wataijenga Tanzania? au watabakia na masifa tu kwamba mimi naishi UK, nimenunua Nyumba UK, wakati ndugu zake tunateseka kwa kuishi kwenye vibanda vya manyasi. Au nimenunua gari la kisasa US, ninaishi sijui kama Puffy, au sijui sasa nina kampuni ya takataka gani huku US, na ukirudi nyumbani unajisikia raha kutuona sisi wenzako tunavyokutetemekea tukikosa hata nauli ya daladala. Kwanini hiyo kampuni yako usiiwekee link na hapa nasi tukapata ajira japo ya kukata majani kwenye bustani ili tusikuombe nauli za dala dala kila ukija. Au unasikia raha tukikuzunguka kukusikiliza, wakati wewe unatununulia bia, na kujitamba?
Mimi sidhani kama Dual citizenship, helps Tanzanians in any way.
•
’Madhara ya dual citizenship tumeyaona mwaka jana na mwaka juzi, France wakati hao raia wa nchi mbili toka Ghana na Nigeria mlizozitaja hapo juu, walipokuja juu kwa kunyanyaswa, na kubaguliwa wakiwa raia wa Ufaransa, kisa tu hawajazaliwa Ufaransa au wana asili ya Africa.’
Kitu kingine, ni kwamba Tanzania bado hata vitambulisho vya uraia, na kujua kwa uhakika kabisa nani ni raia na nani si raia, bado serikali ya Tz haijui kwa umakini. sasa kwanini tusiimarishe uwezekano wa kuwa na vitambulisho vya uraia, kila raia awe na pass ya kusafiria, kila raia apewe uwezo wa kusafiri bila kubughudhiwa, leo hii tukimbilie kuwa na raia wa nchi mbili, ambapo tutakaribisha wageni kibao ambao wameshaharibu sana huko kwao na kutaka uraia wa Tz kiurahisi tu.
’Mi nadhani tusikimbilie mambo kwa kuiga UK au Canada au US, wao walianza zamani, na wanaweza kucontrol migration, sisi tumejaa rushwa, leo hii tutaweza kucontrol uraia wa nchi mbili?’
HEBU NIAMBIE WATANZANIA WANA HAKI YA KUNYIMWA URAIA WA NCHI MBILI
-ETI KWA SABABU YA MATATIZO YA KIMAAMUZI AU KIUTENDAJI YA SERIKALI?
-ETI KWA SABABU HAWAJUI KUIIBIA SERIKALI?
-ETI KWA SABABU WAZAWA WAWILI WALIONEWA?
-ETI KWA SABABU WATAKUNYIMA BIA
MVUVI INAWEZEKANA UNA-POINT LAKINI BADO HUJAWEZA KUIWEKA SAWA. LAKINI HATA HIVYO NIONAVYO MIMI KUWA NA URAIA WA NCHI MBILI SIYO DHAMBI.
RWECHUNGURA ANASEMA TUENDELEZE NCHI KWANZA, KWANI NCHI BADO CHANGA, ANANICHEKESHA SANA!!!! MIAKA 45 UNADAI BADO HUJAKUWA?... BASI USIPOKUWA MAKINI UTABAKI KUWA TEGEMEZI FOR THE REST OF YOUR LIFE. UNAPOSEMA NCHI CHANGA NI DHANA TU NA WALA HAIZUII TUSICHUKUE HATUA ZA KIMAENDELEO NA KUTUMIA FURSA ZILIZOPO KUWAPA WATANZANIA HAKI AMBAZO WANADHANI SILAZIMA ZISHIKILIWE BILA YA SABABU ZA MSINGI HASA.
KWA MARA NYINGINE TENA AHSANTE MVUVI KWA KUNIKARIBISHA
NINAYAHESHIMU MAWAZO YAKO YOTE LAKINI MAWAZO YA KUTETEA UFISADI KAMWE SITAKUUGA MKONO KWA HILO NA HISI ULITELEZA.
asante bwana Isaac-Dar es salaam,
ReplyDeletekwanza nashukuru kwa kuja kwa mtindo mpya ambao nimeufurahia, wa KIDIPLOMASIA zaidi, maana hoja zako za mwanzo ulikuwa unaongea kama Bush wa Marekani tu, kwa kukandia na kusema POINTLESS. anyway sasa tunaweza kujadili swala DIPLOMATIC zaidi.
Kwa kujibu swali lako la nina uzoefu gani nje ya TZ, ni kwamba si mzoefu sana, na hii inatokana na falsafa yangu kichwani. Nimeishi nchi za ulaya kama 6,(Sweden, Denmark, Germany, Belgium,Netherland na UK)ukiondoa nchi za kusafiria na kurudi kwa mikutano na matembezi. Nimefanya kazi nje ya Tz nikiwa kama expert katika nchi7(Kenya, Zimbabwe, South Africa, UK,US, Canada, na Sweden. Sijawahi kukaa nje ya Tz zaidi ya miaka 10. nadhani nitakuwa nimejibu swali lako.
Kuhusu kulalamikia kwamba Dual citizenship itawasaidia watanzania walio wengi, na kwamba eti tuna miaka 45 ya uhuru na kwamba tunahaki ya kuwapa watanzania haki ya kuwa na uraia wa nchi mbili, mimi nadhani unakosea bwana Isac au unataka kuiga before time. Hebu kumbuka kwamba Tz ina miaka 45 tu ya kuishi kama taifa, je nchi uliyopo wewe ina miaka mingapi kama taifa? kumbuka Tz tulikuwa na viji-chiefdom vidogo vidogo vyenye kujali maeneo madogo wanayoyatawala, angalia nchi hizo unazoziita zimeendelea zilikuwa na kigndoms za ukubwa gani na maendeleo ya aina gani katika karne 7 zilizopita nyuma(700 years back). sasa leo hii wao walikwisha kuwa na viwanda miaka 700 iliyopita, wakawa na matatizo ya migration katika karne za 10-13, wakawa na matatizo ya rushwa na uongozi wa kimangi meza nk. kwakuwa na uzoefu huo wakatafuta solution na wakatatua matatizo. Europe ilianza kuingiliwa na wahindi katika karne ya 10, na kuwa na matatizo makubwa mno ya migration etc, leo hii katika karne ya 21 unadhani hawajui nini na kivipi kumudu Dual citizenship?
naomba nisiongee mengi ila bwana ISAAC_DAR ES SALAAM, naomba usome swali langu katika hoja yangu ya tatu:
JE TATIZO LA WATANZANIA NI DUAL CITIZENSHIP AU UONGOZI MBAYA ULIOKO MADARAKANI? UNAOSABABISHA MISS-MANAGEMENT KATIKA KULETA MAENDELEO YA KWELI NCHINI?