Home
Unlabelled
kimeo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Haujaweka picha wewe mzee
ReplyDeleteBarabara chache sana mjini, mnaona muhimu ni majumba tu.
ReplyDeletePitisheni mabarabara juu juu na chini chini.
Hakuna ujanja hapo, ama njia zibadilishwe ziwe One ways kama ile barabara ya Samora (Enzi zile Independence Avenue),au nyumba zibomolewe kuongeza njia kabla hajaja mchizi kutuwekea Congestion charges!
ReplyDeletefoleni ndio kukua kwa mji kwenyewe.London foleni kali mpaka wameweka charges kwa kuingia na gari central.mliisikia habari ya afisa wa ubalozi wa marekani aliyekaa kulipia charges za kuendesha central london kwa sababu yeye ni diplomat?
ReplyDeleteMichuzi unazuga, wamepaki msibani hao
ReplyDeleteTatizo li mji hili halina mpangilio!hovyo kabisa.Halafu kila mtu anataka gari limpeleke mpaka mlangoni ofisini.ndio maana vitambi vingi!wanadhani ni sifa kuonekana ndani ya gari
ReplyDelete