bwm akiamkiana na profesa ali mazrui msomi huyu alipozuru bongo mwaka 2005

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mazruisms:
    1. Nyerere aliitambua Biafra kwa
    sababu za kidini. Waibo
    (Wakatoliki, kama Nyerere)
    dhidi ya Waislamu wa kasikazini.
    2. Nyerere alimtoa "nyoka pangoni
    na kumponda kichwa" (Idi Amini)
    kwa sababu hiyo hiyo ya kidini.

    ReplyDelete
  2. hii picha ulitumia mkangafu?

    ReplyDelete
  3. Michuzi hiyo sio 2005, Ben bado ana nywele kibao kichwani? au ulimaanisha 1995?

    ReplyDelete
  4. Nadhani Africa Mashariki hatutaweza tena kupata Rais kama Ben. Wengi huwa hawaelewi, wanalialia tu bila ya sababu. Huyo ndo alikuwa Rais. Hakuna kuchekacheka hovyo hovyo, hakuna maigizo na waandishi wa habari. Yeye ni straight to the point. Watanzania wengi wamebadilika kwenye kipindi chake. Makosa huwa hayakosekani kwa binadamu, lakini mafaniko ya Mkapa kwa miaka kumi yake madarakani, tutaya-feel miaka mingi sana mbele ya safari. Ubarikiwe!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...