mwalimu akiwa hoteli ya hilltop, kigoma, wakati alipofanya ziara ya kutembelea wakimbizi mkoani humo kwa mara ya kwanza na mwisho. mbele ni aliyekuwa mkuu wa mkoa huo, mh. ditopile

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Braza Dito ni wa long ameshakuaga karibu mpaka hata na teacher J.Kambarage.Ila kajiingiza kwenye matatizo ile mbaya hata hii ngoma ikipigwa kushoto resume yake imeharibika ile mbaya.Mlioko bongo ngoma ya Dito inaendaje?

    ReplyDelete
  2. MICHUZI UMETUNKUMBUSHA MBALI, PICHA KAMA HIZI NDIO ZA MAANA KULETA HAPA, KWENYE BLOG YA KIMATAIFA.
    MWALIMU NYERERE ANAHESHIMIKA ULIMWENGU MZIMA, HE NEVER STOLE FROM HIS COUNTRY AND HIS PEOPLE, VERY HUMBLE MAN. HATA KAMA FAMILIA YAKE SIO TAJIRI LAKINI, WANAHESHIMIKA POPOTE DUNIANI, WATOTO, WAJUKUU, WAKWE, UKITAJA JINA NYERERE TU, UNAHESHIMIKA NA KUANGALIWA KWA CHATI.
    HATA HAPA AIRPORT KWETU, WAMEPEWA HADHI YA KUPITIA V.I.P LOUNGE.
    MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI.
    NA HUYU DITO TUNAMPA POLE SANA, KWA KUJIHARIBIA MAISHA HIVI HIVI, KWANINI LAKINI?

    ReplyDelete
  3. 'WEWE DITO TANGULIA MBELE USIJE UKANIFYATULIA RISASI SUBIRI NIFE NDO UFANYE UNYAMA WAKO"(NAFIKIRI NDO MWALIMU ALIVYOKUWA AKIWAZA)

    ReplyDelete
  4. huyu dito mpuuzi tu, kwanza wote yeye na watoto wake washamba tuu, na mtoto wake Rama ana ngoma

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...