Home
Unlabelled
wapi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo ni Mzumbe University, Dar es salaam Campus. Mtaa wa Olympio. Iko mkabala na Kanisa moja ambalo nadhani itakuwa mojawapo ya makanisa mazuri sana hapa Dar kama siyo zuri kupita yote inaitwa City Christian Centre. Issa utembelee kanisa hilo mwezi wa Tisa mwaka huu.
ReplyDeletePicha yenyewe inasema kwamba ni Mzumbe University Campus
ReplyDeleteMichuzi, hapa ni Chuo Kikuu cha Mzumbe.
ReplyDeleteMichuzi hapo ni Upanga Dar kwenye ofisi za branch ya mzumbe university. nilitembelea hapo nilipokuwa bongo mwakajana.
ReplyDeleteMzumbe university, Dar-es-salaam campus!
ReplyDeleteMichuzi mitaa yako hiyo...:-) Mtaa wa Olympio huo pale palipokuwepo nyumba za NBC walipokuwa wanaishi akina Neema, na mkabala sasa hivi ni kanisa zamani ilikuwa nyumba aliyokuwa akiishi marehemu "Hunter".
ReplyDeletehuyu kidume mjinga sana yani umeambiwa mzumbe university iko dar wewe leo unasema morogoro kasoro bahari aah baba eeeh, shule muhimu ulikwepa umande wewe inaonekana eeh wewe kidume utampata wapi kijike mjinga mjinga katika karne hii, rudi shule kidume uwe kidume kweli, shule ndo maisha na kusoma detail ni muhimu babake we kidume, yani ume ni kera kupita kiasi aah, issa michuzi sometimes comment za watu kama hawa usiziweke ni aibu tupu.
ReplyDeleteSi kama amekosea kusema mji kasoro bahari kwani Mzumbe campus iko morogoro na hiyoo iliyoko Dar ni branch yake ambayo imeanzishwa miaka ya karibuni so who is laughing now??????
ReplyDelete