Home
Unlabelled
ben
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh Pole sana Dada Aisha.kweli hata miye nimezipata zile pics kwa kweli zinatia huruma sana.Mzee issa michuzi big up sana wangu kwa kujaribu kurudisha hisia ambazo zilitekwa na huyo mchafuzi.sio fresh watanzania wanguuu hata kama kweli umepewa uroda jamnii na penzi limeisha ndio kuzalilishna hivyooo kweli? haifai waungwana au vipi haya basi tupevuke akili kidogo jamani!
ReplyDeleteDello
Uswahili tutaacha lini? Huyu dada mbona sio mtu wa tabia hizo labda km ameanza jana... Aisha wasikuchnaganye watu, fanya kazi na endelea na maisha yako achana na uswahili na waswahili.
ReplyDeleteAisee kisaka brasil imekupenda umechana sana. nisalimie owen na mama owen
ReplyDeleteBaada ya kipugwa sana madongo kuhusu kile kishati chako naona sasa Michuzi kaamua kuanza kuvaa Customized-vitenge.
ReplyDeleteTenge alilovaa Michuzi lina jina lake.
Michuzi taratibu mtu wetu, Unafanya mambo mengi sana one time.
Unaweza ukawa Tommy Hilfiger wa Bongo lakini nenda aste-aste.