Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. ha ha haaaaaaaa this is bab kubwa!!, inafurahisha kweli kweli, masoud nakuaminia kaka angu! u made my day, sina mabavu...., haha ha shower tube! siuoge na kopo?? kwa mtaji huo wengi tutaachika,

    ReplyDelete
  2. Miaka hii hakuna mwanamke alie mtumwa wa kufanya hivyo,ila ni fundisho kwa wamama msifanywe kuwa watumwa ukabebe maji,halafu umwekee kwenye bomba eeh! jamani kweli ni mateso na wala sio kupenda.

    ReplyDelete
  3. Nimecheka mpaka mbavu zinauma,ila inasikitisha sana kama kuna watu bado wanatesa wake zao kwa namna hii!

    ReplyDelete
  4. Kipanya hapo umeharibu!!!! You know what I mean, and my message is very clear.

    ReplyDelete
  5. Du huyu jamaa angekuwa 1st world saa hizi millionaire, cartoon kama hizi zinaonyesha highest talent, Poa mzee, maana hapo ka hit 2 in 1. kwanza shida ya maji, pili ni jinsi gani wanawake duniani wanavyopata tabu hali inapokuwa ngumu, maana hapo alifuata maji maili saba then kupeleka bafuni na kummwagilia mzee aoge, kisha akapike ugali, amtengee, then n.k... hajui kama mama kachoka na kazi za siku nzima..

    ReplyDelete
  6. Huyu ni cartoonist wa hali ya juu. Ningemshauri atafute nafasi ya uhifadhi wa kisiasa Ukerewe au USA na akiwa huko aendeleze fani yake ya kuwatwanga wanasiasa kwa katuni kwani naona sasa kaogopa wanasiasa na anaandika mambo mengine ya kijamii kama wale HAKIELIMU.

    Pole sana Masoud waKipanya kwa maonyo kadhaa unayopewa....

    ReplyDelete
  7. Hamna cha utumwa wala nini ndoo maana ndoa zenu siku hizi hazidumu kuna wanawake wanataka shindana na waume zao wengi wameelewa vibaya hilo neno "women emancipation" wekeni tofauti ya utumwa na mapenzi. Ndoa ni mapatano, maelewano n.k. kuna mgao wa responsabilities na kama zina fanyika kama ipasavyo ndoa tamu jamani mbona mi mume wangu namlisha, namchana nywele namkata kucha ni mapenzi! hapo nikimaliza kumwagia maji nae ananimwagia tunasuguana migongo, namtunza kama yai. Akisafiri na make sure namwekea paketi ya ndomu kwenye bag lake, ndoa ni kwa maisha sasa wewe una dhani miaka 40 ya ndoa mume hataiba nje? basi kheri umwekee hizo ndomu.

    Mama malcom kazana ndoa isikushinde!! kuna msemo "kitu kisicho sema hakiwezi kukushinda"

    Mi na baba Chanja hadi kifo mwaya Hahaha iyolelaaaa.

    ReplyDelete
  8. Kidume, hukumalizia, licha ya hayo yote, bwana bado hajaridhika

    ReplyDelete
  9. Msishangae wanawake wanavyotumikishwa, hadhi ya ya wanawake wa mjini na vijijini ni tofauti. Haya mambo yapo na hayana ubishi kwa wanawake wa vijijini. Hayo Tamwa na TGNP wanakula posho tu mijiji, wala hawana mpango na wanawake wa vijijini.
    one question, why divorce rate increases as the status of women goes up?

    ReplyDelete
  10. Maskini mama Kipanya, kazi anayo, sasa je akianguka kwenye hiyo ngazi? ajali mbaya sana iko njiani! Kipanya welcome back!

    ReplyDelete
  11. Duh, Mama Chanja inabidi nikusifu, unamuwekea "mai hazibandi wako" pakiti ya "rambo", ili uzalendo ukimshinda huko aendako isiwe shida...!, Hongera kwa moyo huo, sasa hawa akina "mai hazibandi wangu" wetu hawatachukulia hiyo kama ni ruksa?, enewei if it works for you kip it ap, kaza uzi tuuu.

    ReplyDelete
  12. yeuuuuhwi!mbavu zangu zimepata crack. hivi huyu masoud ana website?will someone pse be kind and send the web add. to iriingi@yahoo.com?

    ReplyDelete
  13. Kwako unayetafuta web adress ya Kipanya, hiyo hapo kwenye picha chini ya ngazi aliyosimamia mama Kipanya, cliki picha uione vizuri anuani,
    Asante.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...