kocha wa taifa staaz marcio maximo (kati) akiwa na kocha mpya wa vijana toka brazili marcos tinoco (tamka chinoko) na mwalimu wa viungo wa staaz itamaar (kulia) leo ambapo tinoco amemwaga wino leo mkataba wa miaka miwili kufundisha timu ya taifa za vijana katika mkakati wa bongo ya leo kukuza kabumbu kutoka chini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Tuko pamoja na COach Maximo...ushindi wa Senegal uwe challege nwetu kugundua makosa madogo madogo

    KiNyoka
    www.taifastars.com
    +255 713 481301

    ReplyDelete
  2. Hatuwezi kujenga timu kwa siku moja, itatuchukua muda kidogo, huyu kocha wa vijana ndio atakaye tuletea timu bora miaka ijayo wakati Maximo anaboresha hii ya sasa hivi.
    Kama JK anataka kweli michezo iendelee namshauri waliouziwa maeneo ya viwanja wote waondolewe na mijengo ibomolewe viwanja vitumike kwa ajili ya michezo, laasivyo watoto wetu wataishia kucheza games na mipira kuchezea kwenye vibaraza

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...