Home
Unlabelled
mdau
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hivi michuzi hauoni aibu na hilo t-shati lako la livapoli, hapo karibu yako yupo oshea john lakini haonekani,hivi livapoli hamtashiriki championi ligi mwakani kwani mtakuwa nafasi ya tano lakini hata mkiwa ya nne hamtashioriki kwani president mpya wa uefa mR platin hataki tena mambo ya supe pawa kupewa nafasi nyingi anataka usawa,Liv 0 Man U 1
ReplyDeleteJamani huyu sio Julius Makelemo kweli? Ametoka bomba kinoma.
ReplyDeletemichudhi tafadhali,naomba picha ya huyo kijana wa kisambaa, john o'shea ili nijue alifanyaje vitu vyake hapo anfield.
ReplyDeleteMapendekezo ya rais mpya wa uefa michel platin juu ya kila nchi kuwa na timu 3, bado yapo ktk hatua za awali na yatajadiliwa na kupigiwa kura na endapo yatapitishwa, hayataanza kutumika mpaka msimu wa 2009/10.
ReplyDeletekwa hiyo Liverpool wako salama hata kama watashika nafasi ya 4!
N.B.
(M.I.Michuzi, mie sio L/pool mwenzio; ni man U - nilikutabiria kipigo karibu mara 4 kabla ya march 3, na j'mos kabla ya mechi nilikuwekea salaam kuwa hatutawafunga magoli mengi... moja tu!)