Home
Unlabelled
mugongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
jamani mbona hawa wanaume wanaupendeleo?wote wamemfuata mtu mmoja,ananini huyo?mbona huyu mmemuacha peke yake?au kiunohakizunguki?
ReplyDeletehe!huyu jamaa mwenye shati vipi?mzuka umempanda?hapo alipo amesharoesha suruali,tena wakichelewa kumtoa tu dada wawatu ataliwa kisamvu hazarani.
ReplyDeletehahahha!jamani bongo kuna mambo!lol!hi picha imenichekesha sana.Keep it up Michuzi kutuburudisha na mambo mbalimbali.Naipenda sana hii blogu yaani kila siku lazima niisome.
ReplyDeletehii inashadadia sana NGONO naona ipigwe marufuku na watafute stile nyingine,MISUPU Unasemaje?
ReplyDeletehii style ukitaka kujua utamu wake umpate binti wa kitanga aliyefundwa,unahonga nyumba.
ReplyDeleteWe anon uliyesema binti wa kitanga, nakuunga mkono kabisa! Unaweza honga kila kitu kwa kweli. Tanga balaa sana!
ReplyDeleteNINACHEKAA NA KUVUNJA MBAVU KWA HII PICHA,MICHUZI KWELI KAZI YAKO INAVUTIA NA KUFANYA KILA BAADA YA SAA MOJA KUCHECK BLOG YAKO KUPITIA CELLULAR YANGU.
ReplyDeleteSasa hapo umkute Aisha Madinda anapinda mugongo,au Lilian Internet,we!unaweza ukagombana na mwenzi wako muliyeenda nae!
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeleteHii sio mugongo mugongo, yenyewe huwa hawapigi magoti, wanajipinda kuanzia kiunoni au wanainama kisha wanachezesha nyonga na mgongo sio kukata kiuno na wala hawatumii nguvu bali taratiiiiiiiiiibu we acha tu
ReplyDeletehivi hawa wanenguaji wana baba zao na mama zao hai au ni watoto wa mitaani?.Kama pesa yenyewe ni hdi kwa stahili kama hizo naomba ruhusa wanablog niende kulima kijijini mjini maisha yamenishinda.
ReplyDeleteWatoto wa kike wa kiislamu wakiwa wametupa hijabu ili watwange na kupepeta.Waislamu nao wamo siku hizi hawataki kubaki nyuma.
ReplyDelete