Home
Unlabelled
nyumba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Uzuri wa hii nyumba na mazingira yake ulitokana na Mwalimu mwenyewe kusimamia kidete mazingira yasiharibiwe!
ReplyDeleteKulingana na maelezo ya Mwalimu mwenyewe, msanifu mmoja ali-chemsha kwa kuanza kung'oa mawe na Mwalimu alipopata habari alimtimua na kutafuta msanifu mwingine kwa masharti ya kutogusa hiyo miamba.
FACTS:
-Mwalimu alikuwa mwanamazingira!!!!
-Alijali na kutumia local bulding materials badala ya kuwa mtumwa wa kutumia vya kutoka nje ya nchi wakati materials imejaa pale Butiama!
-Mwalimu was MORE than a mere politian, kama hawa tunaowaona siku hizi!
HAPPY BIRTHDAY MWALIMU -13th APRIL.