Home
Unlabelled
silaha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Haaa, hiyo kaka michuzi nakufagilia, unajua kwa sasa inabidi tutumie zana hizo hasa kwa wale tuliojaliwa kupata vigari, Unajua Bongo sasa hivi njiani ni Kero, Foleni acha, daladala fujo kibao, waenda kwa miguu nao ndio usiseme akiona hamna gari havuki, akiona gari laja anavuka, sasa naona tuanze na style ya kupiga nati ikizidi ndio tunawadit...
ReplyDeletewewe jifanye mtaalam wa kutumia hiyo silaha halafu umfumue huyo jamaa anayekupa masnep hapo sijui utasemaje
ReplyDeleteMichuzi, hiyo nakuunga mkono, wajua bongo sasa hivi inabidi tuwe na zana kama hizo.... hasa barabarani mzee, si unajua foleni na vurugu hasa kama umejali kupata kigari chako, haaa noma, maana huku daladala kachomeka, mara wapita kwa miguu wameingia barabarna, mara guta, lakini ukiwa nayo hiyo mambo yakizidi watumia tu watu watatulia wenyewe,ikizidi uzalendo una wadit....
ReplyDeletemisupu umechoka sasa!
ReplyDeleteKommando Yosso wamerudi?
ReplyDeleteHahahah..Baba yangu anaiita topito..Hadi leo anayo, anasema hata kama ana 9mm, Uzi, yeye hawezi kuacha kuiweka topito karibu...
ReplyDeleteinafurahisha sana,inaonyesha we michuzi ulikuwa mchokozi kweli!ulivyoishika manati naona jamaa walikuwa hawakusogelei angalia usije ukaanzisha topic mpya na hiyo manati!
ReplyDeleteBola Hio Kaka Misupu Huwezi Kumditopilez Mtu
ReplyDeleteAfadhali umeamua kwenda kuwinda ndege porini kuliko kuweka mada moto kama za kesi ya Dito ili wanablog wajadili.
ReplyDeleteKesi ambayo imejaa vituko eti hadi majaji hawajui wamfanye nini aliyedharau mahakama kwa kupitia mlango wa majaji ambao hawaruhusiwi watu wengine kupita.Au nayo upelelezi haujakamilika? au ushahidi hautoshi?
Tumeona watu wakihukumiwa hapo hapo mahakamani kwa kuidharau mahakama na kwenda jela.
Leo hii ya Dito tunaambiwa bado wanawasiliana na kuangalia uwezekano wa kuwachukulia hatua waliohusika.Very interesting
Hii kesi nimeamua kuitumia kuandika Thesis kwa ajili ya Shahada yangu ya Sheria.
WAW KAKA
ReplyDeleteUNANIKUMBUSHA MBALI, NILIKUWA NIKIUA NJIWA NA MANATI LOL.
KUMBE WASINGETUMIA NDEGE ULAYA KUUA WALE NDEGE WAARIBIFU WA MAZAO, WANGEKUPELEKA WEWE, ILI WATU WAPATE KITOWEO SAFI LOL
BIG UP KAKA, NAKUFAGILIA SINA ZAIDI.
MUNGU AKUBARIKI.
Hiyo rafiki yangu kunguru wa zenji wakikuona nayo tu humuoni hata mmoja. Kwa hapo nakuunga mkono kwamba sasa kunguru hawatakusogelea ukiwa unajivinjari na kupata nyama choma Bar za bongo.
ReplyDeleteAisee Michu unanikumbusha enzi zangu nikiwa nyamwage.
ReplyDeleteNasikia huko Mbozi jamaa wanatengeneza bunduki kiurahisi kama vile wewe ulivyotengeneza manati, cha kusikitisha ni kwamba badala ya serekali kuwa endeleza inawakamata na kuwafungulia kesi
ReplyDeleteHivi Michuzi hapo LAPF Millenium Towers-Makumbusho wanaruhusu kubeba manati na kufanya mzaha namna hiyo just in front mbele tu ya car park yao? Ukishika manati namna hiyo halafu ukaingia kichakani utaona tetere wanavyodondoka wenyewe kama kumbikumbi vile!
ReplyDeletemh michuzi umetoka kwenye keroro mzalendo uongo?big up home boyz sport club arusha
ReplyDelete