yaani hawa jamaa sijui wangemuona hasheem wetu ingekuwaje. huyu tolu kapanda kidogo to imekuwa nongwa mitaa ya dumila. lilipompima kinamna nikakuta hasheem kamzidi kwa inchi kumi nzima. halafu jamaa huyu ambaye ni mpakistani anayeenda kwa jina la mohamed ni kibuda mara tatu zaidi ya hasheem wetu anayetesa ughaibuni kwenye mpira wa kikakpu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...