wadau wa eapot wakimpokea maximo na msaidizi wake sasa hivi baada ya staaz kutua toka senego. wabongo wengi wameonesha bado wana imani na kocha huyu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Asipotupitisha Tunampiga Chini Kama Ulaya Tu

    ReplyDelete
  2. hao wadau ukienda na gamba lako jeusi wanaku-mind ka vile umeliiba kutoka kwao, noma

    ReplyDelete
  3. Nawaomba ili timu yetu ya TAIFA Iwe zuri kwanza naomba yamalizwe matatizo ya migogoro ya vilabu vyetu bongo, kwani matatizo hayo kwa fikira zangu ndiyo yanayo didimiza soka la bongo kwa kiasi kikubwa, na wanao leta migogoro hiyo ni wale wakaa milangoni (getini) wakati timu kubwa (Simba na Yanga) zinapo cheza kwa kuwa wana masilahi yao na ni wapambe wa viongozi vulanivulani ambao wao wanawataka waendelee kuongoza timu hata kama hawana sifa za uongozi ilimradi wao wapate msosi, kwa fikira zangu hao ndio wanao didimiza soka la Bongo, ukizingatia kwamba timu nzima ya Taifa inajengwa timu hizo mbili, na hili swala ni la nyie akina Michuzi (waandishi wa habari) kulipiga vita na kuwaelimisha Wabongo. Natoa mfano wa Mikopo ya Jk, inatangwazwa kwenye magazeti tena bila aibu kuwa mikopo na mapesa ya JK ipo nnje nje bila ya kufafanua sifa za mkopaji, mkulima atakuja tu kwenye benki anataka kukopa bila ya vielelezo utamwambia nini wakati gazeti limeandika mikopo nnje nje!!je hizo pesa anatengeneza JK?. kwa kiasi kikubwa waandishi wa bongo mnachochea sana matatizo kwa kuandika habari ili mradi muuze gazeti, Wandishi elimishe wananchi wajue haki zao, bila ya kuelimiswa hakuna kitu kina fanyika, mchezaji anacheza timu taifa anakuwa hana ari na moyo kama akiwa Simba au yanga kwa kuwa fikira zake ziko huko kwa kupewa vibia viwili vitatu na hao wakaa getini, Soka la bongo.Tanzania ni Taifa kubwa Afrika ajabu ktk michezo hatupo popote, angalia mashindano ya riadha mkimbiaji mmoja viongozi kumi wanao andamana naye, sasa tunajenga tunabomoa?

    ReplyDelete
  4. Huyo Kocha sasa hivi utaowasikia huyu kaja kutalii sio kocha kaka,ZENGWE la bongo linajulikana wadau tulieni mtasikia tu bila kokolo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...