Home
Unlabelled
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi unafanya kazi ya ziada, sababu glob yako iko up-to-date kweli kweli. Ma breaking News(habari zilizovunjika) yaani kila kituuu.
ReplyDeleteStars sisi hatuna noma nao, wamejitahidi makamanda. Yaani wasikonde wala nini, tumeumia wote. Wangetoa walao Draw hapo eapot pangekuwa padogo mnooooo.
OC-Sinza
eee bwana eee michuzi nimefurahi sana kumuona Muhogo mchungu yupo wapi na anafanya nini sasa maana maigizo yake yale ya mzee fulani cha uvivu kijijini amenikumbusha mbali sanaa ukiweza nilitee yake mwenyewe nitafuri sanaa
ReplyDeleteBwana Masupu naomba nitumie fursa hii kurekebisha kitu ambacho kimejitokleza kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuhusu msimamo wa kundi la 7 kwenye michuano ya kufudhu kwenda Ghana. Tanzania inashika nafasi ya PILI na siyo ya TATU kama inavyoelezwa, kwa nini? Jibu ni kwamba kwa kuwa Tanzania iliishinda Burkina Faso, Tanzania ina faida ya kile kinachoitwa head to heda collision. Kwa maana hiyo ukichukua takwimu za ushindi na siyo idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa Taifa Stars ina faida hiyo ya kushinda mezhi yake dhidi ya Burkina Faso kwa hiyo bado tunashika nafasi ya pili. Dont count magoli ya kufungwa na kufunga katika sheria hiyo.
ReplyDeleteSenego wametuchezesha usiku kwa vile wachezaji wao wamezoea baridi kule majuu wanapocheza.Sasa ngoma hapa,kipute kichezwe saa 9 mchana na dua zetu jua liwake ile mbaya,utaona ulimi wa Diof na wengine mpaka utawahurumia score board dakika ya 87 itasomeka hivi;
ReplyDeleteTANZANIA 3; SENEGAL 0