vingunge wa kamati ya muafaka wa kisiasa wa ccm na cuf katika picha ya pamoja kabla ya kuanza mkutano wao leo hoteli ya courtyard, dar. nyeti toka ndani ya kikao hicho zinadatisha kwamba mazungumzo yanakwenda vizuri na mwanga umeanza kuonekana baada ya kila pande kuendelea na muafaka kwa amani na uelewano. Mungu ibariki tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hamna kitu hapo, usanii mtupu, CUF wawe macho CCM inachofanya ni 'buy time and destroy tactic' kwani wanajua CUF wapo strong sasa wanachofanya kuwapumbaza ila wananchi wapoteze imani na CUF then hapo ndipo CCM itakapoibuka mshindi, kwani hakutakuwa na mazungumzo tena na CUF na watafanya watakavyo. Muafaka uliopita ungatekelezwa Maalim saa hizi angekuwa zake ikulu. Ila CCM ni kama wacheza mpira wakiona kuna dalili ya kupigwa mabao wanapanic na kusahau mafunzo ya kocha na kuanza kutembeza BUTI uwanjani, ukizingatia na REFA ni wa wao hata kadi nyekundu hawapewi, Sasa kazi kwako timu pinzani kuendelea na mechi ufungwe au kuacha mechi mwenzako apewe point 3 na magoli mawili.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...