
mjane wa rais wa kwanza wa zanzibar sheikh abeid amani karume, fatma (kulia), akiwa na hayati mama sophia kawawa kwenye moja ya mikutano siku za nyuma. leo ni siku ya kukumbuka siku ambayo sheikh karume aliuawa kwa kupigwa risasi april 7, 1972 huko zenj. na leo bongo ni siku ya mapumziko ambapo ni mwaka wa pili siku huu kuwa sikukuu ya taifa wakati kabla ya hapo ilikuwa ikifanyika visiwani tu


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...