hebu furahieni video za ngoma ya zenj katika kusherehekea pasaka kwa kubofya hapa
Home
Unlabelled
mnanda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Haya bwana Michuzi, mambo ya Pwani wakati mwingine huwa yanafurahisha. Ingawa sijaelewa kwamba mtu "anaogea jikoni na kupikia bafuni"??????? by Zumba's
ReplyDeleteMichuzi thank you so much. Mipasho hiyo imenifurahisha sana tu. bibie anapika bafuni na kuogea jikoni...mh mh mh mh mh
ReplyDeleteKweli hii mipasho ikija nchi za ughaibuni naona vijineno vitaondoka....
Thanx man
Mh, mambo ya uswahilini du, but thanks, niemeicheki hadi mwisho walipoamua kukata mauno, its a good reminder of home
ReplyDeleteAah kaka Michuzi nimefurahi kweli,kuskia mambo ya mwambao,naomba basi utuwekee na za marehem Omar kopa.
ReplyDelete