baba askofu valentino mokiwa wa kanisa la anglikana la mtakatifu albano akihutubia muda mfupi uliopita wakati wa ibada ya ijumaa kuu ilofanyika kitaifa kanisani hapo. baba askofu pamoja na maneno mengine ya busara amekemea sana rushwa katika jamii katika hotuba yake hiyo iliyorushwa laivu na vyombo vingi vya habari.
samahani awali nilikosea jina sasa nimerekebisha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Huyu askofu kwa nilivyokuwa najua anaitwa Valentino na sio Silvester. Au kabadili jina?

    ReplyDelete
  2. NIMEFURAHI SANA KUMUONA ASKOFU MOKIWA, NAOMBA NIPATIE NJIA ZAKE ZA MAWASILINO,(CONTACTS)NATAKA KUWASILIANA NAE BINAFSI, Sote ni watu wa Jamhuri ya Tanga ingawa niko Ughaibuni kwa sasa. Plz Michuzi

    ReplyDelete
  3. Huyu Askofu aligeuka Mwiba kwa Serikali yetu kisanii.
    Kawapaka na utani wao wa madawa ya kulevya na hadithi za maisha bora kwa kila Mtanzania.
    Nahisi sasa viongozi wa dini wameanza kumuona JK miyeysuho.
    Kina Sheikh Simba nao wanataka kumkazia juu ya Mahakam ya Kadhi.
    JK aliwaweyeyusha hadi viongozi wa dini yake mwenyewe itakuwa sie tuliokataa PEMA PABAYA PANATUITA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...