babu njenje kaliweka sokoni limo lake. hataki nyingi, dola alfu kumi tu tosha. ndinga liko fiti, stata wan kik, kiatu kipya na limetembea kilomite 11200 tu. injini haijawahi kuguswa na bodi lake gumu kama mgongo wa kobe. wese linakula km 12 kwa lita, muziki stirio na kiwinta kinafanya kazi. na ukipenda anakubadilishia gia ya bakola na kuweka automatiki chap chap. gerentii mwaka mmoja na ushee. mwenye kulitaka wasiliana nami, usichelewe liko hili tu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. if you believe on the given milage, then i have a bridge i would like to sell you!
    hahaha

    ReplyDelete
  2. michizi tupe mwaka... limetengenezwa lini?

    ReplyDelete
  3. Inawezekana hizo milage ni kweli unajua bongo watu wanakua na magari kibao kama Jay Leno vile. Yaezekana hiyo ilikua gari la weekend tu.

    Inaonyesha imekula chumvi nyingi sana lakini inawezekana hata hii gari haijui barabara hata za Dar vizuri.
    Tunahitaji tu vintage restoration car service. Kuna mali nyingi tu sana bongo. Hiyo gari bomba sana

    ReplyDelete
  4. Ukilipeleka Japan wanaliyeyusha kisha zinatoka baloon kama 10 kwajinsi lilivyo na body ngumu

    ReplyDelete
  5. aloo michuzi jina la mkoko na la aina gani old is gold u no!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  6. oyaa michuzi tupe mwaka wa gari au ndoo cheche zenu hizo kuna watu na pesa zao tunapenda old mkoko's

    ReplyDelete
  7. Aisee michuzi, mie nipi very interested na hiyo gari. hii inaonekana kama Chevy
    camaro or Ford Mustang, tena classic (1960s or 1970s). Ngoja tutawasiliana.

    ReplyDelete
  8. Kuuziwa Mbuzi kwenye mfuko wa Rambo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...