msanii ray akiwa na toleo jipya la jarida la shule na vyuo ambalo yeye na mastaa wenzie wa luninga wamepamba jalada leo. jarida hilo ambalo linakuja juu sana kwani linaandaliwa rasmi kwa vijana na madenti wa shule na vyuo, linachapishwa na kampuni dada ya global publishers ya anko eric shigongo... bongo hatujachacha siku hizi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. mara mpatane mara mgombane,hii yote ni umaarufu mlionao bila kuwa na hela,
    haya tutanunua hii,tuone kilichomo

    ReplyDelete
  2. Rey C naye..mara kwenye toleo ya kitangoma mara sasa ndio unamwonyesha kwenye hili jarida..hapa naona amekata nywele?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...