afande sele wa mji kasoro bahari na kundi lake la watu pori pia yuko kwenye tua ya wanaume halisi. hapa anaimba kibao chake kilichompa taji la mfalme ya rhymes 'mimi ni msanii'

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Dhu! Huyu jamaa inaonekana amechoka kinoma angalia afya hiyo...mabega yameenda juu..chang'aa achana nayo.

    ReplyDelete
  2. Pamoja na kutovutiwa na miziki Bongo Flavour, naona jamaa wamepiga hatua sana na kuweza kuvuta umati mkubwa wa watu Kirumba Mwanza. Kitu cha kushangaza na kusikitisha, jamaa bado wanatumia sana nembo za Jamaica. Muziki wa Reggae unapigwa sana nchi nyingi duniani, lakini watu wengi hawatumii nembo za Jamaica. Wanaume wa TMK tangazeni Bongo sio Jamaica!.

    ReplyDelete
  3. Kumbe afya ni lazima uwe na kitambi!?... Anyway, Tatizo sio kama hawana uzalendo, ila ukivaa bendera ya Tanzania kichwani au lubega, cha moto utakiona kama sio kwenda kunyea ndoo segerea...!!!!! hizo rangi wanazotumia si za jamaica pekee, angalia bendera ya Ethiopia. Maana kamili inaweza kuwa kujikomboa kifikra kutokana na utumwa wa akili, na ndio maana wengi wao wanafuata african culture ya kusokota nywele na kumtukuza Haile Selassie. Au kaka Mtimkubwa unasemaje?

    ReplyDelete
  4. Wewe "Tarehe Tuesday, April 10, 2007 7:57:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous" Kitambis sio Afya. Mie naongelea Afya kuwa nzuri "Healthy" huyu ukimtiza anaoneka afya sio nzuri..anaweza anguka na kufa watu wakasema amelogwa kumbe ni afya mbovu.

    ReplyDelete
  5. jamani hayo mabega sio yameinuka angalia vizuri hito T-shirt ina shoulder pads

    ReplyDelete
  6. Afande Sele amechoka sana siku hizi.Kila kukicha kwenye shoo "mimi ni msanii".Kuwa innovative Afande ujidhihirishie kweli kwamba ulipashwa kuwa mfalme wa rhymes

    ReplyDelete
  7. KILA MTU SIKU HIZI BONGO MSANII. SIJUI KAMA WAMEPATA NAFASI YA KUJUA MZIKI MAANA YAKE NINI.
    LABDA KUSOKOTA NYWELE, KUVUTA VYOTE NA KUVAA PAMBA ZA AJABU. PAMBA KIBAO SIKU HIZI TOKA CHINA NA BANGLADESH. KWA NINI HATUI WASAFIIII.
    NANI KAMWONA AKON AKIVAA FLAG YA JAMAICA? KWAO SENEGAL NA ANAVAA RIBON ZA SENEGAL 24HRS 7DAYS A WEEK.
    JIFUNZENI NDUGU ZETU HATA MKIENDA KUOMBA VISA ETI MNATAKA KWENDA KUFANYA SHOO MAJUU MTANYIMWA.SI LAZIMA MVUTE NA KUFUGA UCHAFU MSIOJUA ASILI YAKE NINI. HII BLOG SASA NI YA VIBAKA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...