Home
Unlabelled
ay
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Daaah hongera bwana unastahili hicho kibao ni noma
ReplyDeleteMbona wimbo wa usijaribu wa AY sio Hip Hop? Mimi ndio nakosea ama Kili Music Award ndo walokosea?
ReplyDeleteMi naona hapana wimbo huu haukustahili kuwekwa hatav katika 'kategori' hii...
Kumbe AY mzuri hivi..dress like that all the time....
ReplyDeleteHichi kichalii juzi juzi tu kembaamba leo anaonekana kama dingi flani,tunakupa mwaka mmoja mbele kitambi vibaya.
ReplyDeleteAna meno 64!
ReplyDeleteWE MSHENZI ULIESEMA MENO 64 sio vizuri kabisa na wewe michuzi unakosea kuweka mambo kamahaya matani ya kweli kama kumsema mtu maumbile yake huyo anon aliendika hapa usikute mfupi kama kinyesi au vichunusi kama fenesi bt sio tabia nzuri kabisa. na wewe michuzi utuletee listi ya watu walioshind akwenye tuzo sio picha moja mbili tatu
ReplyDelete