waziri wa habari, utamaduni na michezo mh. muhammad seif khatib akiwa na sheikh abdillah nassir, mmoja wa watunzi watatu wa kamusi mpya ya kiswahili kwa shule za msingi za afrika mashariki leo wakati wa uzinduzi wa kamjusi hiyo iliyochapwa na oxford university press hoteli ya kilimanjaro. kamusi hiyo ya toleo la kwanza imesheheni maneno mengi mapya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 25, 2007

    HOTELI YA KILIMANJARO NDIO IPI TENA HIYO?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 25, 2007

    Bwana bongo kuzuri. Umeona hayo maua yalivyo mengi na fresh.

    Home sweet home.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...