
leo dar ni mvua kutwa nzima. na kwa wadau mlio bongo na hata ughaibuni si vibaya mkisoma ujumbe huo hapo chini tuliotumiwa punde tu...
Najua wengi mnamaliza shule sasa na mnafikiria kurejea bongo. Kabla hujafunga virago vyako kuja nyumbani pitia hii site www. kazitanzania.com you never know...


Hallo Michuzi,
ReplyDeleteNapenda kuwasiliana nawe kupitia email. lakini box yako iliyoandikwa nitumie email sio active. Naomba reke´bisha ili niweze kuwasiliana nawe.
Hao Jamaa watengeneze website yao vizuri. It is a cramp. It is unable to recognize any cookies kwa hiyo search ni urembo tu. Why not get serious and come up with a website worthy of your BIG name?? BONGO mi inaniudhi kwa sub standards mchwwwwwiiiiiiiii
ReplyDeleteHAPO BWANA NJE YA POSTA KUU AU NIMEKOSEA JAMANIIIII. VIFURUSHI VYOTE HUZAMIA HAPO. WANA MIKONO MIKALI HAO. HATARIIIIIIIIIII EEH!
ReplyDelete