februari 15, 1995: mwandishi john ngahyoma (mwenye peni) akiripoti mchezo wa netiboli mashindano ya kombe la nje cup uwanja wa relwe gerezani. kushoto mwenye afro du ni mwandishi chesi mpilipili na wengine ni mashabiki tu. ngahyoma hivi sasa yuko bbc kituo cha bongo baada ya kusota deiliniuzi, baadaye itv na kumalizia tvt. ni mmoja wa waandishi walio makini katika kazi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 25, 2007

    keep up uncle.Duuuu umnetoka mbali.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 25, 2007

    Enzi hiiizooo..
    Wakati Huo John Ngahyoma Bajeti yake ya kinyozi ilikuwa ghali kidogo.
    sasa hivi akiingia saloon hata kwa Tsh 50/= atanyolewa.

    umri umesogea, upara ndani ya nyumba.

    Ni mmoja wa Waandishi mahiri na wakongwe wa Hapa bongo.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 25, 2007

    asee! hawa jamaa wote wawili nawafahamu walivyo sasa hivi. kwa hakika sivyo hivi walivyokuwa...!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 25, 2007

    John Ngahyoma, big up!
    huyo chesi mpilipili huwa ana makala zake zinafurahisha. big up

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 26, 2007

    LAKINI ALIKUWA KAZUBAA KWENYE TV MWANZO!HIVI NASIKIA KUNA MWANDISHI WA HABARI BBC SIKU ZA NYUMA TOKA BONGO ALIRUDISHWA NYUMBANI KWA SABABU YA KUCHAPIA MAJINA YA WACHEZAJI NI KWELI??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...