nafarijika kuona nyuzi bin nyuzi zinamiminika toka kila pembe ya dunia kupitia blogu yetu hii. safari tunapiga tripu hadi ujeremani ambako tunambiwa kama ifuatavyo...

Kwa mara ingine tena wakazi wa mji wa Hannover baaya ya maonesho ya kimataifa ya Expo 2000 Hannover wataishuhudia tena bendi ya The Ngoma Africa waliofanikiwa kuchukua tuzo ya bendi bora ya kiafrika katika maonesho hayo. Hayo yote yamo pia kwenye vyanzo vingi vya habari ikiwamo mitandao maarufu barani ulaya kama www.tanzanianow.com , www.tzuk.net na www.bongo5.com

Aidha, katika gazeti la AfricaNews lichapishwalo mjini Rome,Italy, na kutawanywa ulaya kote pia limeandika habari za bendi maarufu The Ngoma Africa kuwa watawasha moto mkali na muziki wao ambao mnaweza kusikiliza katika tuvoti hii
http://www.myspace.com/thengomaafrica

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 17, 2007

    Yeah hawa ndio wakwetu. Mkisema hatu wathamini wasanii wetu mtakosea sana. Nimesikiliza nyimbo zao kweli hawa hata wkija US wakataka kiingilio $100 nitatoa.

    Hizi ndio nyimbo za kwetu asilia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...