wasanii wa muziki wa bongofleva profesa j na c pwaa wakighani mbele ya waandishi wa habari, ikiwa ni moja ya vionjo watakavyoonesha siku ya tamasha la b-connected viwanja vya bustani ya mnazi mmoja gaden jumapili hii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 18, 2007

    sio siri hakuna kitu ambacho sikipendi kama kumuona mwanaume tena dume kusuka nywele!! hivyo inakuwaje ndio kuiga, ujana au ushamba? kwa kweli mimi jibu langu ni kuwa wengi wao naona kama mabwabwa yaan watoto sio riski naamini mwanaume aliyekamilika hawezi kukaa kitako na kusukwa nywele.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 18, 2007

    Acha ufala wewe,sasa uanaume una uhusiana nini na nywele.Hiyo ni fashion tu ya nywele, na kila mtu ana uhuru wa kuamua kuweka nywele zake atakavyo.'Mwanaume aliyekamilika' kama unavyodai mwenyewe hapimwi kwa style ya nywele wewe,acha ushamba!Mbona unajishuku?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 18, 2007

    Mbona wamasai wanaweka zile nywele zao za kusukwa. Mboan awatu hawachukii. Inategea jinsi unavyoact. Kam umesuka nyele na unaheshima kwa watu hamna neno.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 18, 2007

    Mi sipo kwenye mada ya kusuka hiyo ni staili ya maisha.

    Swali langu hawa jamaa ni wasanii lakini hapo wanaonekana wanaaibu kinoma mbele ya waandishi huyo mmoja kavaa miwani ya jua mwingine anaangalia kitambaa, Usanii kazi na hapo ilitakiwa kuangalia waandishi kwa kujiamini,

    matokeo yake hawapandi jukwaani mpaka watoe nishai, bangi na pombe. msanii halisi ni yule anaweza kuwakilisha hisia kwa kujiamini bila msaada wa ndumu wala miwani.

    ila jamaa wakiwa studio wanajitahidi kuimba kwani hamna anawaangalia zaidi ya producer.

    Nawatakia mafanikio mema ya kuwa wasanii kamili

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...