
meneja uhusiano wa kampuni ya madini ya farrick gold sauda simba kilumanga akimkabidhi afisa uhusiano wa music may day victoria kimario mfano wa hundi ya thamani ya sh. million mbili za madafu ikiwa ni moja ya mchango wao katika tamasha la b-connected litalofanyika jumapili bustani ya mnazi mmoja gaden


Hey, Is not FARRICK is BARRICK
ReplyDeleteHey is not FARRICK is BARRICK
ReplyDeleteVICKTORIA KIMARIO, LINI UMEINGIA KWENYE FAN YA MUSIC? MIAKA YA NYUMA ULIVYOSOMA KIFUNGILO HATA KISWAHILI HUKU JUA VIZURI , SASA HIYO HUNDI MKIKABIDHIWA MSIJE MTUINGIZA BAGAMOYO(USANII).
ReplyDeleteWewe Michuzi kazi zako za kulipualipua tu, sasa huoni hata kwenye hiyo cheque inasema "BARRICK" kwenye bango kubwa. Yaani umeshindwa ku copy tu badala yake unaandika "Farrick"?
ReplyDeleteJK inawafagilia sana Barrick kumbe ni wezi,jana kontena zao zimekamatwa zikiwaa na mchanga unaosafairishwa nje.Jamani tutaibiwa mpaka lini?
ReplyDelete