mitambo ya kuzalisha umeme ya kampuni ya richmond ilipowasili dar. ishukuriwe kwamba sasa kiwingu cha tuhuma za kanyaboya kimeondolewa na pcb na sasa mambo yote tambarareeeee...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 17, 2007

    Jamani sasa hii ndio ile serikali ya kisanii na kishikaji kama walivyosema wanafunzi wa UDSM,kweli hii ni RICHMONDULI na sasa mh:hosea nae kaweka ubani .
    Katika swala hili kweli kuna sasa umuhimu wa PCB nayo kuwa na kurunzi la kuimulika kwa kweli wamechemka mnoooooo kwamba hakuna rushwa katika swala zima la richmonduli????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...