
kepteni john jumla -kulia- (bofya http://dailynews-tsn.com/page.php?id=6734) wa jeshi la ulinzi akiwa eapoti majuzi tayari kuelekea kameruni kutambua mwili wa mkewe kepteni leticia oswald (bofya http://dailynews-tsn.com/page.php?id=6689) ambaye ni mmoja wa wahanga wa ndege ya kq iloanguka na kuua abiria na wafanyakazi wote


This came as a surprise to me. Blog for Kenya! I'm Kenyan by the way.
ReplyDeleteEe Mungu baba
ReplyDeleteupokee roho za marehemu
Uwafariji wafiwa. Wewe ni baba wa watu wote. Amen
Michuzi turekebishane Kiswahili.
ReplyDeleteMtu anayekufa katika ajali haitwi Mhanga kwa sababu hajajitoa muhanga kujiua.Mhanga ni mtu anayejitoa nafsi yake kujiua.
Wale waliokufa katika ajali ya ndege kule Douala Cameroon huwezi kuwaita wanga kwa vile hawakuingia ndani ya ndege kwa ajili ya kwenda kufa.
Tuwaite waathirika wa ajali.
tafadhali tuzingatie Kiswahili sanifu maana kuna watu nje ya nchi wanaojifunza lugha hii kwa kupitia pia blogu yako.