wadau walio uturuki wakiwa kwenye meza ya bongo siku ya maonesho ya wageni wanaoishi nchini humo ambapo bongo ilifunika sana kwa kuvutia watu wengi katika maonesho hayo ambayo yalishirikisha wanafunzi wageni toka nchi takriban 30 za kila pembe ya dunia. toka kulia ni athuman Fuko anayemaliza masomo ya kompyuta mwaka huu, faraji lydenge ambaye yuko mwaka wa tano udaktari na kimbute ambaye pia anamaliza masomo ya elektroniki mwaka huu. hii yote inadhihirisha jinsi wabongo wanavyochakarika ughaibuni katika kupepea bendera yetu juu. hongera wadau...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 15, 2007

    Wangeonyesha ubwimbwi kwenye banda lao...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...