dah! utadhani wanja letu la neshno kumbe watangazaji wa idhaa ya kiswahili ya bbc saidi yakubu (shoto) na chaaaaaz hilarly nkwanga (duh! watasha wanatamkaje sijui hili jina) wako kwenye wanja la neshno la wembley la ukerewe ambapo man u atapigwa bee mtungi na chelsea jumamosi hii kwenye fainali za fa. mengi zaidi mtembelee www.saidiyakubu.blogspot.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 17, 2007

    hata nasisi tutafika hapo siku moja polepole tu.
    na kama tukiweza kuwaleta hao wazungu kuwa slaves tutamaliza mara moja. Unajua majengo mengi babu zetu waliwajengea hawa na wao wapay back waje kwetu kujenaga.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 17, 2007

    Kama sikosei huyu Said Yakub akiwahi kuwa kiranja mkuu pale Tambaza mwaka 1999/2000.Kwa kweli hakuwa kiongozi mbaya.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 17, 2007

    Liverpool hawamo lakini jamani ama nakosea ?
    JK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...