mkuu wa wilaya ya lushoto mh. sophia mjema alikuwepo kwenye uzinduzi huo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 28 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2007

    WHAT A PRETTY WOMAN WOW!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 11, 2007

    Anaonekana pia ana roho nzuri sana!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 11, 2007

    Sijui nikiomba transfer ya kwenda rushoto ntapata???

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 11, 2007

    Waliosema Mja asili haachi asili yake na nature ni nature tu, hebu cheki magold hayo. Sasa hivi ndio mama zetu na dada zetu wanapenda, haijalishi we ni mnani. Je we are equal but not the same. Mhh nisije tupiwa madongo na TGNP bure mi ni gender balance na nimefundishwa DS Gender issue pale UD na kina mama mbilinyi(prof. marjorie), hawa wakikupiga shule lazima ujione kuwa you are all equal, but not the same.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 11, 2007

    i dont mean to disrespect you but i just want to know if you are still single, if you are, please let me know through this blog and i will be right there for you. thank you in advance

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 11, 2007

    mmh, dada Sophia 'm Happy to c u as a Mkuu wa Wilaya(Lushoto). Umejitahidi dada angu.

    JIRANI YAKO wa East-Upanga, Waa waa!!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 11, 2007

    Anon wa 12:31, umenifumbua macho, Kumbe alikuwa ANAKALIA UPANGA??, ndio maana anaonekana cute na mkarimu sana, CCM Oyeee

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 11, 2007

    Pius, huyo alikua mke wa mtu sijui kwa sasa.Hongera sana Sofii

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 11, 2007

    Alikua kiongozi toka mdogo huyu. Mambo ya girl guide alikua kiongozi pia kama sitakosea, na uzuri wake haukuanza leo...Uzuri wa sura anao na moyo wake pia mzuri zaidi.

    Kuna watu wengine wamejaliwa vyote

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 11, 2007

    Hongera dada Sophia. Uongozi uliuanza siku nyingi tangu tukiwa Muhimbili Primary School miaka mingi iliyopita!`Kipaji na uwezo wa kuongoza unao! Hongera sana na I'm really happy for you! Ni kweli dada Sophia is as kind at heart na mrembo kama anavyoonekana!

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 11, 2007

    Tutamwomba Lundenga aandae mashindano ya uremba ya wakuu wa wilaya akina mama itakayeitwa "Miss DC Tanzania"
    Huyo dc na hakika atachukua taji hilo!!

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 11, 2007

    Unajua unapokuwa kiongozi wa ngazi fulani kwenye jamii kama hii ya ukuu wa wilaya unakuwa ni "public figure", kila mtu anakuangalia na unapaswa kufanya kila jambo lako kwa kiasi, not to extremes. Hata wazungu wamesema "too much of everything is harmful"
    Haya sasa nambie huo wanja ulivyojaa huko kwenye nyusi ndo nini? Na hiyo migold yote ya nini? Khaa!
    Hebu nijinyamazie mie.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 11, 2007

    dada sophy wewe ni mzuri sana na huo wanja ndio wenyewe haswa unaotakiwa,hako kamdomo kalivyojaa aisee ni mzuri!na kuhusu dhahabu we vaa hata kama unazompaka wapi vaa ambae anasema zimezidi ujue hana na anzitamani mh wape pole!ni mzuri sana wewe angalia hao viongozi wenzio wasije kukutamani wakakuaribia sifa mh na ukiingia bungeni wewe mh hawakuachi!

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 11, 2007

    We Perez kama kawaida lazima uzogoe, kila shughuli ina uvaaji wake, nenda kamtembelee ofisini kwake utamkuta tofauti na hapo anavyoonekana. Tusikariri mambo jamani, hawa waheshimiwa wana appear kutokana na shughuli yenyewe, ndo maana unaweza kumkuta Mkuu wa nchi kavishwa lubega (vazi la kimasai) katika shughuli ya kimasai. Lets not discuss people, lets discuss ideas!

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 11, 2007

    Perez, mmmmmmmmmm, watu watakung'ang'ania lakini una kijipoint hapo.....!

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 11, 2007

    "Presidential appointee"

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 11, 2007

    mzuri, mzuriii...kwani analiwa nyama?
    toeni maoni ya kujenga ebo!! mara oo umeolewa?? wakina pius mna matatizo gani? kila pius ninayekutana nae akili yake hivi hivi. michuzi ebu tutafutie mtaalimu wa nyote atufafanulie jina la pius lina balaa gani... unataka hadi vya wakubwa bwana. hujui kuwa hii mali ya jk? utajungwa!!

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 11, 2007

    We anoy wa 1.10 am "umeisha sema alikuwa mke wa mtu, sijui sasa"
    huoni kwamba ume-conclude that is is separated or something like that.
    Ungesema kaolewa tungejua ana ndoa,
    So naona Umwache Pius wa watu ajaribu, na Lushoto sio mbali anaweza kwenda kule akaomba kumuona DC kama Mjasiamari anayetaka kuwekeza huko Ushoto, na ku-create employment.
    labda awe anatoka mwanza au Kanyigo, au Chigoma,Mugumu lakini kwa ninavyo wajua watu wa huko wakiona Mtoto mweupe namna ile ahh ushoto ni karibu.

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 11, 2007

    we anony hapo juu wewe unasema hii ni mali ya jk!!!jamani huyu jk anao wangapi maana kila kiongozi mzuri wa kike ni wa jk jamani nyie watu huyu ni mwanadamu wa aina gani mpaka kila mtu awe wake ongeeni point bwana

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 11, 2007

    ila huyu mdada ana dada yake ameolewa na mheshimiwa mmoja meya mh huyo dada anaringa mpaka mdomo wake umevutika kwa kuringa,maringo mh!sophy mwambie dada apunguze maringo

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 11, 2007

    Jamani mimi naomba kuuliza...nadhani social studies ilinipiga mweleka...
    mkuu wa wilaya anakuwa elected au appointed...Na kama ni sio elected by the citizens nani appoint? Ni mkuu wa mkoa anachagua au ni nani ana madaraka hayo?

    Kuna link yeyote ya bongo ya govt inayoelezea muundo wa Govt yetu?

    Ningependa kama mtu anajua link yeyote kwani ningefurahi kujua zaidi Muundo wa Govt na insititutions zake

    ReplyDelete
  22. AnonymousJune 11, 2007

    Shule ya Msingi Olympio mwaka 1974 mpaka 1978. Wanaowakumbuka waliokuwa darasa hilo hebu watajeni?

    ReplyDelete
  23. AnonymousJune 11, 2007

    Wasukuma hatuna la kupinga, ni MZURI (mweupe) SANA

    ReplyDelete
  24. AnonymousJune 11, 2007

    hApA hAtUtAnGaZi UzUrI, kAzI aNaFaNyA iNaVyOtAkIwA?

    ReplyDelete
  25. AnonymousJune 11, 2007

    WATANZANIA BWANA TAMAA NYINGI NDIYO MAANA UKIMWI UNATUUWA KAMA KUKU VIFARANGA.WALIO PIGWA MDONDO.....HUYU AUNT MBONA WA KAWAIDA SANA MIE SIJAONA CHA ZAIDI HAPO KUONDOA WANAVYODAI KUWA MKALIMU HIYO NI PERFECT QUALITY KWA MWANAMKE OTHERWISE NI WA KAWAIDA.
    HIYO RANGI WANAYO WAMACHAME KIBAO WASIO NA VIATU LAKINI HAKUNA ANAYEWAJALI... SASA LEO MMEMSHIKIA BANGO MAMA WA WATU...MBONA BEYONCE HAMSEMI?????? AU FLAVIANI ALIYE WAPANDISHIA CHATI.....KITUNZE KITADUMU NA KIPENDE KITAPENDEZA...(TAFUTENI VYA KWENU)

    MKEREKETWA UGHAIBUNI///

    ReplyDelete
  26. AnonymousJune 13, 2007

    Sir Issa "..NAONA ISSA ULIPEWA TABASAMU LA NGUVU KAKA.." PICHA INAPENDEZA....HIVI HAWA WAHISHIMIWA WANATEULIWA/CHAGULIWA NA RAISI..JK..INAELEKEA MUUNGWANA HUYU NA MCHAPAKAZI..SAFI SANA

    ReplyDelete
  27. AnonymousJune 13, 2007

    OLYPIO 1974 TO 1978 CLASS(A)BIG NAMES WAMESOMA NA SOPHIAWAKIWAME FIDELIS TUNGARAZA, JOHN NGALABA RUPIA,ANDREW MUHAZI ,SHASHU MAHIMBO VICKY GONDWE MARIAM KWETUKIA ,ROES NKUZU WHERE ARE YOU ALL YOU NICE PEOPLE

    ReplyDelete
  28. Sophia hongera sana,sikukutegemea kwenye siasa japo toka enzi za Upanga ulikuwa mstari wa mbele,shuleni,girlguide nk.
    Huyo anayesema dadako anaringa ana wivu au hamjui vyema,sisi tuliosoma na kukua nae tunajua ni mtu asiyepoteza muda kusema watu vibaya.Wote nyie watatu ni watu wastaarabu sana.
    Go Sophia!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...