Home
Unlabelled
fimbo lugoda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kaka Michuzi
ReplyDeletekwakweli umetugusa tulio wengi hasa baada ya kuwaanika hao mangala dance, binafsi umenikumbusha mbali saaaana iringa Tancut club kuna wakati ilibidi nisafiri kwenda Iringa kuwaona hao jamaa wazee wa kinyekinye kisonzo, Livangara, na mangara dance mie nadhani ndio bendi pekee iliyokuwa ikitokea mkoani na ikija dar inajaza ile mbaya nani atabisha hapo
najua hao mapacha kuna marehemu hebu tupe nyeti kama unazo
Kiongozi
mmoja kati ya hawa mapacha amefariki,au nakosea?
ReplyDeleteKaka Michu umenigusa Mwanangu! Umenikumbusha enzi zetu hizo.
ReplyDeleteKaka naomba kama wewe au mwana bulogi hii yoyote mwenye ule wimbo wa "Ninakwedaa safari.., safafi yenyewe ya masafa marefu... Ninajuaaa Mama utabakiii watasema mengi pia wabaya wetu mamaa watafurahii.." hebu aniambie jinsi nitakavyoupata jamani.
Kaka umenikumbusha mbali sanaana.
Micho sory Michu hivi ni Kyanga Songa ama Kasaloo Kyanga ndio marehemu. Kumbukumbu finyu zangu zaniambia ni Kyanga. Na huyo aliyesalia anaishi Nairobi sasa au?
ReplyDelete