judith wambura isambai mbibo a.k.a lady jay dee a.k. jide anaendeleza libeneke na bendi yake ya machozi kila ijumaa kama ya leo kwa kutumbuiza kwenye ukumbi wa ruaha kuanzia saa 12 hadi saa sita. kwa mujibu wa wadau waliofika mahala hapo kijiwe kimeanza kuchanganya taratiiiibu na leo inasemekana patawaka moto kwani ni bethdei ya jide. kwa ufafanuzi huu ukumbi umo ndani ya naitiklabu ya jj blue kinondoni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2007

    A good idea from Jide...ni macho yangu au ni mwenyewe...i think ameongezeka au kwa maneno mengine amenenepa

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 16, 2007

    What a strange looking outfit. Kihindi, hawaiian, african mix.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 16, 2007

    jide hako ka mguu hata supu hakana mwe

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...