Home
Unlabelled
kikosi cha mauaji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kaka michuzi
ReplyDeletejana umefanya kazi nzuri sana sana hongera,maana mimi ilibidi niacha kuangalia kwenye bbc nije kwenye blog yetu kumbe na sisi tunaweza kabisa kushindana na vyombo vya habari vya ulaya, jana wadau wote tumefurahi kwa kutupa ile mechi live endeleza libeneke mwanangu.
Yaani mimi skuwahi mpenzi wa mprira lakini hii nimefurahi sana na support vijana wanyumbani jana watu tulikuwa tunapata txt msg kutoka kila pande ya dunia kuhusu ushindi huu hongereni sana sasa ndio kukaza mwendo zaidi
ReplyDeleteJAMANI KAMA KUNA MTU AMEREKODI ILE MECHI YA JANA NA ILE YA MWANZA KATIKA FORMAT YA DVD AU VCD NAOMBA ANITUMIE HUKU UGHAIBUNI KUPITIA KWA MICHUZI NTAILIPIA GHARAMA ZOTE HUSIKA. MUHIMU: QUALITY YA KANDA LAZIMA IWE NZURI.
ReplyDeleteHongereni Taifa Stars, kwa taarifa zilizopo hatujawahi kukwalifai toka miaka 80, toka katika mbio, Mungu akijaali tutafika.
ReplyDeleteKWa wale watakao pendelea kuiona mechi ya Msumbiji na Senegali, kuna uwezekano mkubwa hii TV channel ya Senegal wanaweza kuenyesha live, lakini lugha ni kifaransa,
http://sunuker.com/index.php?option=com_content&task=view&id=54&Itemid=1
ILANI..
ReplyDeleteHii ni qualification tu, bado mpira ni fainali huko GHANA.. na hiyo pekee ndio itaonyesha DIRA kwa dunia nzima, kwamba Tanzania iko kwenye GWARIDE la kuelekea Kombe la DUNIA...
SIKU HIYO LAZIMA TULE NDAFU, MUNGU AKIJAALIA..
KWAKO BWANA LEODGAR CHILLA TENGA,PRESIDENT,TANZANIA FOOTBALL FEDERATION:
ReplyDeletetupo katikati ya vita kali ya kutafuta nafasi ya kwenda Ghana,you are our Field Marshal,wewe ndo kamanda mkuu.please lead from the front.hebu ueleze umma wa watanzania crucial game kama la jana kwa nini hukusafiri na timu burkina faso?game la senegal dar ukaone bora ukale kuku Geneva kuliko kukaa mwanza utengeneze mikakati ya ushindi,matokeo?sare ya kijinga tu na senegal.sasa sikiliza beki hatuna costa hoi,nsajigwa red card,una mpango gani? wambie watu wako hapo ti ef ef waache upuuzi wamwite Pawasa haraka sana ili kocha apate nafasi ya kumuangalia,vinginevyo tukifungwa na msumbiji utatueleza!
chuki binafsi hazifai,TFF kwanini mnambania Boniface Pawasa?acheni hizo mwiteni azibe nafasi ya Nyumba na Fusso mwenye red card!!!
ReplyDeletektk kundi letu ni sisi tu ndo tulioshinda game ugenini!
ReplyDeleteSENEGAL vs MSUMBIJI
ReplyDeletehttp://www.rewmi.com/Live-Mozambique-Senegal-0-a-0-VIDEO-_a2033.html?PHPSESSID=d54c5cd5c1e2cba0934159a71836ed8d
Michuzi bado una hangover... mbona hakuna picha mpya.. Nadhani jana umekunywa bure sanaaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteMichuzi leo uko wapi..Fungulia mbwa leo umefunga???
ReplyDeleteJamani kwani ninani aliyeibatiza timu yetu jina la JK? mbona hii ni timu ya watanzania wote na siyo timu ya JK?
ReplyDeleteni makosa kuiita timu ya taifa kwa jina la raisi katika kpindi hiki cha demokrasia ya vyama vingi. Na ijulikane pia kuwa, raisi wa nchi anaweza kufanya makosa makubwa sana na kuiabisha nchi, je hali hiyo ikitokea timu itabadili jina?
waooo
ReplyDeleteSENEGAL 0 MOZAMBIQUE 0 : Kocha wa MOZAMBIQUE Ameahidi kuipiga bao Tanzania, Leo Rais wao na Rais Mstahafu ---Kipenzi cha TZ Chissano alikuwa uwanjani
ReplyDeleteRESULT: Mozambique 0-0 Senegal,
ReplyDeleteMatokea haya yanafaida kwetu? au maumivu?
Haya mambo hayo hapa mpira umeisha Msumbiji 0 and Senegal 0, kazi kwetu, Senegal anayo advantage ya magoli......
ReplyDeleteBado Ngoma Ngumu SANA..lakini mategemeo yapo makubwa tu..
ReplyDeleteWashindi wa Group ndio watakwalifai, ama ?
P W P
Senegal 5 2 8
Tanzania 5 2 8
Mozambique 5 1 6
Burkina Faso 5 1 4
Mechi Zilizobakia..
07-09/09/07:
Senegal v Burkina Faso, Tanzania v Mozambique
kaka michu..
ReplyDeletenahis senegal wametoa droo na mozambique.. nafasi bado ipo maana bbc wanaonyesha ya kuwa senegal wana point 8 sawa nasi plz weka hii front page wadau waione
2008 Nations Cup Group 7
P W D L GF GA Pts
Senegal 5 2 2 1 6 2 8
Tanzania 5 2 2 1 4 6 8
Mozambique 5 1 3 1 4 4 6
Burkina Fas 5 1 1 3 4 7 4
kama nilivyokutumia senegal na mozambique wametoka bilabila kaka cheki hapa kwa uhakikahttp://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/6761279.stm wawekee wadau mkuu
ReplyDeletemichu mbona huweki hii?
ReplyDeleteSenegal struggle in Group Seven
Tanzania coach Marcio Maximo was sent off during Saturday's game
Senegal failed to go clear at the top of Group Seven when they were held 0-0 in Mozambique on Sunday in the 2008 African Cup of Nations qualifiers.
The Teranga Lions are now only ahead of Tanzania at the top of the group thanks to their better head-to-head record between the two sides.
Tanzania moved onto eight points on Saturday thanks to their 1-0 win in Burkina Faso.
The encounter in Ouagadougou on Saturday saw the hosts comfortably in charge but failing to capitalise on their opportunities.
Burkinabe frustration boiled over in the second half when defender Moussa Ouatara was sent off after head butting Amir Maftah.
The visitors also had their fair share of trouble as Shadrack Nsajigwa and coach Marcio Maximo were also dismissed as tempers flared.
The Taifa Stars punished the home side for being profligate midway through the second half.
Henry Joseph beat the offside trap and chipped the ball over the keeper to give Tanzania a crucial win that sees their hopes of qualification given a major boost.
Burkina Faso remain bottom of the table on four points while Mozambique are just two points ahead of them.
RESULT: Mozambique 0-0 Senegal,Group Seven
ReplyDeleteRESULT: Mozambique 0-0 Senegal,Group Seven
ReplyDeleteSenegal na Msumbiji ni 0-0. Msimamo wa kundi la saba sasa angalia jedwali hapa chini:
ReplyDelete2008 Nations Cup Group 7
P W D L GF GA Pts
Senegal 5 2 2 1 6 2 8
Tanzania 5 2 2 1 4 6 8
Mozambique 5 1 3 1 4 4 6
Burkina Faso 5 1 1 3 4 7 4
Tuombe mchezo ujao Stars waifunge Msumbiji na Bunina Faso waishinde Senegal.
Kaka Michuzi
ReplyDeleteNaona kazi bado tunayo, maana Senegal na Msumbiji wametoa draw, kwa sasa Senegal anaongoza kwa kuwa na uwingi wa magoli ya kufunga akiwa na point 8 kama sisi. Hii inamaanisha nini kwetu. Tunaombea yafuatayo yatokee mwezi september. Senegal atoe draw na Burkinabe na sisi Tushide dhidi ya Mozambique. Ni gumu lakini ndo lililobaki. Maana Senegal atacheza kufa na kupona ukizingatia kuwa watakuwa nyumbani. Na pili watakuwa na hasira kwa vile Burkinabe waliwafunga kwao, kwa hiyo watataka kulipa kisasi. Kwa upande mwingine ni kuwa Burkinabe nao watataka kuwatoa kimaso maso mashabiki wao baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo. Kaaazi kweli kweli.
Sele
Mpira umeisha! Senegal na Wamakonde(Msumbiji) wametoka 0-0, so sasa tupo nafasi ya pili kwasababu ya magoli ya kufungwa (6) na machache ya kufunga (4). Iwapo Senegal watafungwa, ama kutoka sare ya aina yeyote na Wa-Burkinabi, na sisi tukamtungua Mmakonde (Msumbiji) ndani ya Bongo, then moja kwa moja tunaingia Ghana. Mungu Ibariki Tanzania.
ReplyDeleteMsimamo wa kundi kwa sasa ni huu ufuatao:
2008 Nations Cup Group 7
P W D L GF GA Pts
Senegal 5 2 2 1 6 2 8
Tanzania 5 2 2 1 4 6 8
Mozambique 5 1 3 1 4 4 6
B. Faso 5 1 1 3 4 7 4
ndugu zangu eh mambo yameharibika big time.wasenegali wametoa draw ya 0:0 sasa hivi na msumbiji,hivyo pamoja na kwamba wote tuko point 8 lakini wao senegal wana better goal difference.tarehe 8/sept sisi tunacheza na msumbiji dar na wao wanacheza na burkina senegal. wakishinda wamekwenda ghana na sisi tukishinda tuotee nafasi ya upendeleo ya best three losers ambayo ni ngumu kwani nchi kama sudan,uganda,zambia,guinea,mali wana better chance ya kupata nafasi hiyo.
ReplyDeletedraw ya msumbiji na senegal leo bonge la hasara kwetu.wallah draw yetu na wasenegali dar tutaijutia!!!!!
ReplyDeleteMsimamo Unaonekana hivi Sasa
ReplyDeleteP W D L GF GA Pts
Senegal 5 2 2 1 6 2 8
Tanzania 5 2 2 1 4 6 8
Mozambique 5 1 3 1 4 4 6
Burkina Faso 5 1 1 3 4 7 4
Michuzi can you pl stop this business of calling them JK Boys? Thanks.
ReplyDeleteWHY YOU CALL THIS TEAM JK BOYS ????? IT MAKES MORE SENSE IF THE NAME REMAIN THE SAME TAIFA STARS
ReplyDeletejamani ila naomba tusibweteke kazi bado. Hakuna kulala mpaka kieleweke. Yaani piga ua tunahitaji ushindi mechi yetu na Msumbiji. Uwezekano wa kumaliza kileleni kundi 7 upo tukaze buti. Hata ikishindakana nafasi za washidi wawili naona zimebaki mbili moja itachukuliwa na Sudan au Tunisia sababu wote tayari wana point 12. Timu zilizobaki zote zinauwezo wa kumaliza na point 11 ambazo ni Tanzania, Zambia, Algeria na Eritrea
ReplyDeleteMechi za septemba ni kama ifuatavyo
Zambia vs South Africa (SA)
Algeria vs Gambia (Gambia)
Eritrea vs Swaziland (Swaziland)
Uzuri wake ni kuwa timu zote zinaWEZA kutubania zinacheza ugenini sisi tunacheza nyumbani.
Mcheza kwao hutunzwa
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU IBARIKI TAIFA STARS
MICHUZI USIBANE HII
ReplyDeleteNARUDIA TENA INGAWA MICHUZI UNANIBANIA,MUITENI PAWASA HARAKA SANA SIJAFURAHISHWA NA DEFENCE NITARUDI BONGO KUJA KUWAPA WAPIGA DEBE BUKU TANOTANO ILI WAANDAMANE KUMTAKA PAWASA STARS,HILO LIKITEKELEZWA GHANA KAMA KUMSUKUMA MLEVI WA GONGO
STARS wanatakiwa washinde tu mechi yao na Mozambique. Hata kama Senegal wakishinda tutakuwa na pts sawa.
ReplyDeleteSioni how sisi tutaku less favorite ktk kuchagua Best runners, tutakuwa na pts 11, plustume tie na kiongozi wa kundi letu.
Most important clue,nasema funga Mozambique goli nyingi sana.
Kwanza, Michuzi, ninyi waandishi wa habari ndio mara nyingi mnaobadilisha mambo. Hii timu ni 'TAIFA STARS' hili ni jina lake halijabadilishwa na kuwa JK Boys ni kama vile Chipolopolo, Lions of Terrenga, Ondomitable Lions, Uganda Cranes, Harambee Stars, Black Stars n.k. Tusipige debe kubadilisha jina la timu yetu bila makubaliano, haya majina hayabadilishwi hovyo hovyo tu kwa mapenzi ya baadhi ya watu.
ReplyDeletePili, Pia Boniface Pawasa anafaa sana kuimarisha ngome nyuma. Timu yetu inaweza kuwa na benki/akiba ya wachezaji wapatoa 50 hivi wakiteuliwa k.m Brazil inavyofanya. Endapo baadhi ya wachezaji watakuwa na red cards au majeraha, kocha anaweza kuchukua wachezaji toka katika benki/akiba ya wachezaji wa Taifa Stars.Pawasa nafaa kuwa katika benki/akiba ila aache ubishoo. kama si ubishoo wake angekuwa anacheza daraja la kwanza Ulaya.
Michu na wanablog wote, kuna possibility kubwa ya kwenda Ghana as long as tutashinda mechi yetu ya mwisho kwa atleast three clear goals. Tathmini ndogo inaonyesha kundi ambalo lina timu za Sudan na Tunisia ndo ambalo litatoa timu mbili kwa maana ya group winner and best looser as well kwa sababu Tunisia na Sudan wana points 13 na 12 respectively point ambazo hakuna mshindi wa pili wa kundi lolote mwenye uwezo wa kufikia ukiondoa Uganda mwenye 7 points with 2 games in hand, what does this mean? Ukweli ni kwamba timu karibu zote ukiondoa Sudan wenye 12, ni Uganda pekee wenye uwezo wa kufikisha 13 points kama wakishinda mechi zao mbili za mwisho, timu nyingine zote zilizobaki zina uwezo wa kufikisha points 11 tu kama sisi, kwa hiyo ni jukumu letu kuandaa mikakati ya kushinda goli nyingi against our neighbours Msumbiji ili tuwe na goal difference nzuri na hatimaye safari ya Ghana ikamilike!
ReplyDeleteNi kweli tumeshinda ila kuna haja ya kuandaa timu zetu tangu wadogo kwa sababu what happended in Burkinafaso was just a fluke! We just got the results but the quality of football was frustarting! We need to nurture our players before they mature other wise we will be waiting for miracles like what happened in Burkinafaso.
ReplyDeleteNakubaliana na wazo la kumuongeza Pawasa, ila tusiwe tunashadadia mambo bila kuwa na facts, napata wasiwasi kwamba hao wanaompigia Pawasa debe wanadhani Pawasa yule wa Simba ndo huyo huyo wa sasa hivi inawezekana ameshajiishia au kiwango kipo juu zaidi. Mpeni mwalimu muda amuone then kama ana msaada ataitwa, yasije yakawa yale ya miaka ya nyuma FAT walimuita mchezaji aliyedaiwa kucheza soka ya kulipwa Ujerumani kumbe alikuwa anameacha mpira na kitambi juu!Tuliona kwa Renatus, sio kila mchezaji anayecheza nje ana uwezo mkubwa wengine wanacheza mabonanza tu huko walipo!!!!!!
ReplyDelete