rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe. amani abeid karume akisalimiana na balozi Peter kalaghe anaekwenda canada wengine katika picha ni balozi juma maharage (kati) anaekwenda U.A.E na balozi john kijazi anaekwenda india. mabalozi hao leo walienda ikulu zanzibar kuaga rasmi tayari kwa kwenda kuaanza kazi katika nchi hizo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...