handaki la leo barabara ya ali hassan mwinyi...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2007

    Baada ya kubainishwa kwamba address waliyotoa WTM huko Dagenham inatiliwa mashaka katika blog hii, leo hii wametoa address mpya ambayo pia ina utata kama zoezi ambalo wanakusudia kulifanya. Hatimae address yao imezaa address mbili kwa mojabarking/dagenham kama inavyoonyesha kwenye tovotu yao, katika maisha yangu kukaa UK, sijawahi kuona address ina address mbili kwa moja, inadhihirisha wazi kwamba hii kampuni hawajui wanachokifanya na wanachokikusidia kukifanya, bali ni sehemu ya kitengo cha kuchukulia wafanyabiashara pesa zao bila kuwa na mantiki au taratibu za kuaminika katika kufanya zoezi hilo.


    Hata hivyo leo hii WTM wametoa press release, ambayo inaongelea kuhusu zoezi hilo la ukaguzi wa magari, ambalo litaanza tarehe 06 June 2007, na siyo tarehe 14 MAy 2007 kama ilivyoelezewa hapo awali, walipoingia mkataba na TBS.

    Kama tulivyoolezea hapo awali wafanyabiasha lazima, wapeleke malalamiko yao kwenye vyombo vya sheria hapa UK na huko Tanzania kupata uwazi wa huu utaratibu mzima wa hili zoezi gharamu ambalo mpaka muda huu, hakuna taratibu kamili ambayo iko wazi kwa wananchi, hususan kuhusu hili swala la gari kuwa MOT, inakua vipi tuwapelekee hawa jamaa kukagua gari hilo hilo.

    Hii licence yao, kama wanvyodai wamepatiwa kuweza kuanzisha hili zoezi, lazima iangaliwe upya na malalamiko lazima yapelekwe VOSA uk, na vyombo vyengine husika vya kiserikali UK.


    Mpaka hivi sasa sina Clue WTM ina maana gani kwa urefu ?? SAY NO DUBIOUS COMPANY SAY NO DUBIOUS DEAL

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 06, 2007

    Jama jama, kufuru hii!! na hii yote ni kuhalalisha vigogo kutembelea mashangingi!! SteveD.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 06, 2007

    Je kampuni ya WTM inabiashara ya kukagua na kusafirisha magari, hiki si kujichanganya na kuwapendelea zaidi, wateja wao wa wenye kusafirisha magari.

    Waungwana hili ni swala la kuliangalia.

    Scenario,

    Nina malori mawili na magari madogo mawili, ninakusudia kuyasafirisha kuyapeleka Tanzania, vile vile meli nitakayoitumia inaondoka siku tatu kutoka leo, ninawapelekea hawa WTM kukagua haya magari kwa bahati mbaya yote yamefeli, lakini sasa ninarudi tena na kuwapa hii deal ya kusafirisha haya magari yangu kwa kutumia kampuni yao, kwa gharama kama paundi 6000, na wao watapata chao kama paundi 2500 mpaka 3000. Je WTM hawayatayachukua haya magari na kusafirisha kwa kutumia kampuni yao ?? hali ya kuwa wata issue hizo TBS certificates kwa magari ambayo yamefeli MOT na TBS Standards???

    Hili tatizo nina uhakika litazua mengi hapo mbeleni, ni swala ambalo tuliangalie kwa makini

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 06, 2007

    Hivi Tanzania tunajiandaa na vita nini mbona maandaki yanatisha

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 06, 2007

    SILENT STALKER SAYS.......Guys huu ndio moyo WTM are DOGGGY , lets phone the DVLA , VOSA , papers n media in genral and get this company on the SHAME list & on the TOP of the NEWS too much SCAM, am emailing all media tomorrow stay tuned

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 07, 2007

    Issa utajiju na mahandaki yenu. Na bado....................

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 07, 2007

    Sir Issa TUNASHUKURU SANA KWA UFUATILIAJI HUU...HAKUNA ANAYEJALI KATIKA SERIKALI YETU MPAKA LEO WAO WANAZUNGUKA TUU...HALAFU ISSA NINAOMBA "..UWEKE PICHA ZA BARABARA ZA MIJI MINGINE YA TANZANIA..".HAWA WAHESHIMIWA (MEYA) WAONDOKE HAWAWEZI KAZI KUNAWA TANZANIA WENGI TU WAMEHITIMU NA WANAUWEZO WA KUFANYA KAZI KWA UANGALIFU NA UWEZO MKUBWA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...