Home
Unlabelled
mifuniko
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kuna siku nilidumbukia ndani ya mfereji kama huo nikiwa Bongo. Kweli wazifunike maana ni hatari. Na kuna siku niliona kipofu andumbukia ndani ya mfereji. Jamani zifunike. Siyo wanangojee mtu afe ndo wachukue hatua.
ReplyDeleteDuu Da Chemi pole,mana napata picha mtu akidumbukia humo inakuwaje,Pole sana mamii
ReplyDeleteDa Chemi ni wanaharakati wa masuala ya watu wenye ulemavu nchini Tanzania pamoja na jumuia za watu wenye ulemavu wapo katika harakati ya kujenga weledi wa jamii pamoja na mambo mengine katika matumizi ya baadhi ya majina ambayo yamekuwa yakitumika kuwasiliasha aina za ulemavu miongoni mwao. Kwa mfano, badala kutumia neno 'kipofu' inapendekezwa zaidi litumike neno 'asiyeona'. Nitajitahidi nikutumia 'soft copy' ya kitabu kiitwacho "Mwongozo rahisi kuhusu kutanzua ulemavu na kujenga jamii ya wote.
ReplyDeleteBongo kweli nchi ya kisanii, Hivi kwa mfano ikipitishwa sheria kuwa wanunua vyuma chakavu wote wasajiliwe na kuwa hakuna kununua skrepa, bila kukaguliwa na ikigundulika faini Shs 10,000 au kifungo miaka 10. Nafikiri watu watakuwa makini na ununuzi wa vyuma chakavu.
ReplyDeletekinachoonekana hapo wote muuzaji ambaye kaiba hiyo skrepa na mnunuzi wote lao moja kwa kuwa mwizi anataka hela bure na mnunuzi anataka malighafi cheap.
Yaani hii sasa inatisha na inaweza leta maafa makubwa sana mbeleni ikiachiwa, mfano kuna vitu kama 'STEEL STRUCTURED BRIDGES', hawa jamaa wakipata vitendea kazi vya kufungua madaraja haya sijui kama kutakuwa na usalama, maana usiku wanaingia kazini asubuhi mtu anakuja speed mia anashitukia daraja halipo au nguzo moja imeng'olewa, too late.
Sheria kali kuhusu ununuzi na uuzaji wa skrepa zipitishwe vinginevyo, tutakuwa tunarudi nyuma kimaendeleo.
KWA CHEMI KUDUMBUKIA HUMO WALA HAINISTUI. MLEVI KUMWINGIZA CHOONI NA KUMWAMBIA HUMO NDIYO CHUMBANI MWAKE, HALALI YAKE.
ReplyDeleteUNALEWA SANA MWANAMKE NA KUJIVUNJIA HESHIMA YAKO. MWANAMKE KUWA MLEVI BADALA YA MNYWAJI...KOMBAAAAAA!
HIZI NJAA ZITAUA WATU WENGI!
ReplyDeleteDu Michu Ile faini pale juu isomeke Shs 10,000,000 na sio shs 10,000 ni ndogo sana hawatakuwa makini.
ReplyDeleteSamahani: vidole vinamfupa
ushauri wa bure kwa wahusika:achana na mifuniko ya chuma.tumieni mifuniko ya zege ambayo ndani mta reinforce kidogo tu halafu tuone hao wezi wa scraper watafanya nini?just a little bit of thinking u know?
ReplyDelete