
mustafa hassanali akiwa na ma-modo katika shoo yake ya tigo-mama afrika. sasa hivi kanitumia ujumbe ufuatao. someni kwa makini. ningekuwa naujua ung'eng'e ningetafsiri. lakini ndo hivyo tena - mwenzenu kama mjuavyo mie ni maimuna....
PRESS RELEASE Dated 1 June 2007
FLAVIANA'S WARDROBE SAGA
First and foremost, we at Mustafa Hassanali Couture would like to congratulate Ms Flaviana Matata for performing well at the Miss Universe Pageant which is attributed to the young girl’s zeal, zest and support from her organisers, sponsors and the people who voted for her.
Flaviana prior to being a Miss Universe Tanzania 2007 had an opportunity to be cast to showcase our “Namaste” Collection in January 2007. Pictures of that Show were published in Issa Michuzi Blog amongst many others.
Since May 28 2007, the finals of the Miss Universe pageant, The Issa Michuzi Blog has been flooded with comments, remarks, feedbacks and allegation in regards to the Her Wardrobe, this has been intensified more so, since her arrival back from Mexico.
Mustafa Hassanali would like to clarify, refute and abstain from the following remarks:
“bora wangempa deal hassanali ila waliogopa bei si unajua these stingy idiots hu just think of themselves....” we Appreciate that, the Anonymous, thought of us…. But we would want to make clear, we design, create, construct and embellish as per the clients budget. All good and quality product does come with a price tag. “The biggest hindrance to creativity is budgets” Mustafa Hassanali
“Hivi kaka Michu,gauni lile"jeupe"ambalo hasa ndilo lilitukosesha sisi watz ushindi kwa"mwanamke wetu Flaviana"lilitengenezwa na"designer"wa kitz Hassanali au??Kama Hassanali ndiye alilitengeneza gauni lile"baya"adhabu yake ni kupigwa bakora hadharani,manake halikutoa kabisa dada yetulets me know kaka Michu,nani hasa alitupokonya ubingwa huu kwa kutumia hila ya kumpa auni baya"jeupe "dada yetu?” We hereby attest that Ms Flaviana Matata On stage evening gown, Official National Costume, Bikini, Pre-final rehearsal segment gown and her welcome home gown were NOT A MUSTAFA HASSANALI CREATION. Each designer has its own creative IQ which makes that their selling point. We respect it. As they say “one mans meat is another mans poison” Kwa Kiswahili “Mkia was Nguruwe………….”
“michuzi hakuna uzalendo wa kijinga tena la sivyo tutaacha kufagilia, wabunifu wa kibongo hawajafikia viwango kwa hiyo hakuna kuvaa nguo zao kwenye mashindano ya kimataifa la sivyo itakuwa aibu tu, vaeni nguo zao hukohuko bongo mkishatoka mnavaa nguo zenye mvuto zilizo kwenye international standardkwa lile gauni hata kumi bora wamempa sababu alikuwa unique and creative on her own beauty” we @ Mustafa Hassanali would like to inform the person who wrote this comment, That fashion designers just like other professionals have their Identity. I would like to enlighten the said person that its passion for our work, just like the rest of you, drives us for our daily livelihood. As they Say Charity Begins at Home, Ailinda Sawe of Afrika Sana is a Professional Designer and one of the first in Tanzania with a Degree. Ally Rhemtullah is another qualified designer from USA whilst Elly Mlaki studied in UK. The Late Kiiza Kahama studied in Paris. We Have So many professional DESIGNERS in Tanzania some who are trained and others are Qualified by Experience.
“Hivi ni nani aliye-design Night Gown yake?? Lile Gown lilikuwa baya kusema ukweli. Jamani Tanzania Designers wengi wabovu sana yaani hata tungemnunulia nguo kutoka Walmart angependeza sana kuliko lile gown baya. Angekuwa na Gown bomba angeweza kushinda. Lakini hata hivyo hongera sana Flaviana Matata.” As stated Earlier that it was NOT A MUSTAFA HASSANALI.
What Ms Flaviana Matata Wore during the pageant, had nothing to do with the Qualification status of designers in “Bongo” but its entire her own judgement, she is above 18yrs old, and that of her Organisation Miss Tanzania Universe.
Mustafa Hassanali did design two over the Top Evening Gowns for Miss Flaviana Matata as her personal wardrobe which was commissioned and paid for by Flaviana personally.
ABOUT MUSTAFA HASSANALI COUTURE
Mustafa Hassanali Couture is renowned for its elegance, style, flamboyancy, glamour and glitz that has made it one of the most sought after fashion house in Tanzania
Having been showcased throughout South, Central, Eastern Africa and Italy, this has influenced his cosmopolitan approach to the world of Fashion in Tanzania. It is his exquisite handwork, detailed beadwork and creative ensemble embellishments that make its designs alive.
Whether it’s the corporate wear, Traditional costumes or a Wedding Ensemble… Mustafa Hassanali handles each piece with great care and gives the utmost attention to whole outfit right from first client contact to delivery, a personal touch all through. True to its policy, each design and Outfit is a masterpiece of work…. A duplicate is NEVER created.
That is what makes it unique, a Truly Mustafa Hassanali Affair.
Issued By:
press@mustafahassanali.net
Tel: +255-71-5303880
First and foremost, we at Mustafa Hassanali Couture would like to congratulate Ms Flaviana Matata for performing well at the Miss Universe Pageant which is attributed to the young girl’s zeal, zest and support from her organisers, sponsors and the people who voted for her.
Flaviana prior to being a Miss Universe Tanzania 2007 had an opportunity to be cast to showcase our “Namaste” Collection in January 2007. Pictures of that Show were published in Issa Michuzi Blog amongst many others.
Since May 28 2007, the finals of the Miss Universe pageant, The Issa Michuzi Blog has been flooded with comments, remarks, feedbacks and allegation in regards to the Her Wardrobe, this has been intensified more so, since her arrival back from Mexico.
Mustafa Hassanali would like to clarify, refute and abstain from the following remarks:
“bora wangempa deal hassanali ila waliogopa bei si unajua these stingy idiots hu just think of themselves....” we Appreciate that, the Anonymous, thought of us…. But we would want to make clear, we design, create, construct and embellish as per the clients budget. All good and quality product does come with a price tag. “The biggest hindrance to creativity is budgets” Mustafa Hassanali
“Hivi kaka Michu,gauni lile"jeupe"ambalo hasa ndilo lilitukosesha sisi watz ushindi kwa"mwanamke wetu Flaviana"lilitengenezwa na"designer"wa kitz Hassanali au??Kama Hassanali ndiye alilitengeneza gauni lile"baya"adhabu yake ni kupigwa bakora hadharani,manake halikutoa kabisa dada yetulets me know kaka Michu,nani hasa alitupokonya ubingwa huu kwa kutumia hila ya kumpa auni baya"jeupe "dada yetu?” We hereby attest that Ms Flaviana Matata On stage evening gown, Official National Costume, Bikini, Pre-final rehearsal segment gown and her welcome home gown were NOT A MUSTAFA HASSANALI CREATION. Each designer has its own creative IQ which makes that their selling point. We respect it. As they say “one mans meat is another mans poison” Kwa Kiswahili “Mkia was Nguruwe………….”
“michuzi hakuna uzalendo wa kijinga tena la sivyo tutaacha kufagilia, wabunifu wa kibongo hawajafikia viwango kwa hiyo hakuna kuvaa nguo zao kwenye mashindano ya kimataifa la sivyo itakuwa aibu tu, vaeni nguo zao hukohuko bongo mkishatoka mnavaa nguo zenye mvuto zilizo kwenye international standardkwa lile gauni hata kumi bora wamempa sababu alikuwa unique and creative on her own beauty” we @ Mustafa Hassanali would like to inform the person who wrote this comment, That fashion designers just like other professionals have their Identity. I would like to enlighten the said person that its passion for our work, just like the rest of you, drives us for our daily livelihood. As they Say Charity Begins at Home, Ailinda Sawe of Afrika Sana is a Professional Designer and one of the first in Tanzania with a Degree. Ally Rhemtullah is another qualified designer from USA whilst Elly Mlaki studied in UK. The Late Kiiza Kahama studied in Paris. We Have So many professional DESIGNERS in Tanzania some who are trained and others are Qualified by Experience.
“Hivi ni nani aliye-design Night Gown yake?? Lile Gown lilikuwa baya kusema ukweli. Jamani Tanzania Designers wengi wabovu sana yaani hata tungemnunulia nguo kutoka Walmart angependeza sana kuliko lile gown baya. Angekuwa na Gown bomba angeweza kushinda. Lakini hata hivyo hongera sana Flaviana Matata.” As stated Earlier that it was NOT A MUSTAFA HASSANALI.
What Ms Flaviana Matata Wore during the pageant, had nothing to do with the Qualification status of designers in “Bongo” but its entire her own judgement, she is above 18yrs old, and that of her Organisation Miss Tanzania Universe.
Mustafa Hassanali did design two over the Top Evening Gowns for Miss Flaviana Matata as her personal wardrobe which was commissioned and paid for by Flaviana personally.
ABOUT MUSTAFA HASSANALI COUTURE
Mustafa Hassanali Couture is renowned for its elegance, style, flamboyancy, glamour and glitz that has made it one of the most sought after fashion house in Tanzania
Having been showcased throughout South, Central, Eastern Africa and Italy, this has influenced his cosmopolitan approach to the world of Fashion in Tanzania. It is his exquisite handwork, detailed beadwork and creative ensemble embellishments that make its designs alive.
Whether it’s the corporate wear, Traditional costumes or a Wedding Ensemble… Mustafa Hassanali handles each piece with great care and gives the utmost attention to whole outfit right from first client contact to delivery, a personal touch all through. True to its policy, each design and Outfit is a masterpiece of work…. A duplicate is NEVER created.
That is what makes it unique, a Truly Mustafa Hassanali Affair.
Issued By:
press@mustafahassanali.net
Tel: +255-71-5303880
P.O.BOX 10684
DAR ES SALAAM
TANZANIA
Tel: +255-78-4303880
+255-22-2668555
E-mail: press@mustafahassanali.net
URL: http://www.mustafahassanali.net
Way forward guys...i'm amazed by this counterattack, well thought after and all. Well done. SteveD.
ReplyDeleteMichuzi time has come when you wont have to take advertisements in any type and form.
ReplyDeleteOtherwise maybe people should start paying for them.
I cant think of any Tanzanian spot I visit more often than yours.
What this gentleman is doing is advertisement in a very beatiful english language.
I wont be supprised if all the other mails were sent by him as well.
My opinion the bloggspot should remain as nutral as possible and these marketing people should find another place to showcast their products.
Alamsiki blaza Michu
hahaha I am so impressed, bongo is changing now! customer service is slowly taking its place.
ReplyDeleteGood response homeboy i actually posted one of the comments answered and now i feel great that you(bongo designers) got the message and you individually took initiative to respond.
Keep up good work afterall we are all striving for perfection!
Ila ile nguo ni kweli imeharibu reputation yenu inabidi tuwape muda kwanza kabla ya kuwatumia tena kwenye mashindano ya kimataifa
Wewe mtu afadhali ungekaa kimya.
ReplyDeleteTulishaambiwa na wana blog wengine kuwa hilo gaumi ilitengenezewa na mtu kutoka england au mzazibari.
Ingawaje Flavia hakuja na Taji bongo lakini alipofikia ni juu sana na kuna nguo zingine zilikua nzuri tu.
Tusianze kulaumu sana kwa vile hata waandaji wamejitahidi sana kumfikisha hapo alipo.
Je kama angeshinda na hilo gauni na watu wakakupa sifa wasiojua kuwa hayo magauni haya kutengenezwa na wewe ungekuja huku kusema kwenye blog kuwa jamani hizo nguo sikutengeneza mimi, Sifa mpeni fulani? ...oh please..... I doubt..
Kama proffessional person with a big empire like that sioni sababu ya wewe kuja huku kujibu hayo mambo ambayo watu walisema na wengine wakaeleza ukweli wa aliyezishona hizo nguo kua sio wewe. Na najua umeona pia hizo habari zimo humu humu kwenye blog.
Kuhusu Price's allegations ....action speak louder than words. Shona nguo zako kama ziko affordable wengi tutanunua tu.
Are they advertising or doing publicity in here? Is this the first international pageant we have attended? How about the other shows that no body even gets a chance to show off their designer creativities. Who to be blame there or just because this one Flavia did her things and some of you guys wish could be the one who designed her wardrobe.
ReplyDeleteI am sorry but if Michuzi was the one who post those allegation you has so much sympathy but those are from people who kno nothing and were just asking and someone mentioned that they were not designed by you. You didn’t see that?
Are they advertising or doing publicity in here? Is this the first international pageant we have attended? How about the other shows that no body even gets a chance to show off their designer creativities. Who to be blame there or just because this one Flavia did her things and some of you guys wish could be the one who designed her wardrobe.
ReplyDeleteI am sorry but if Michuzi was the one who posted those allegations you would have so much sympathy but those are from people who know nothing and were just asking and someone else mentioned that they were not designed by you. You didn’t see that?
It would be appreciated next time if you use the Swahili language that majority of the Tanzanian citizens could read and understand what you are talking about. We don’t want to leave so many people behind on very important issues anymore. You can still see by yourself even a highly decorated photographer available in the country like Michuzi acknowledges, “English is not reachable “. next time do the right thing
ReplyDeleteHumu kijijini huwa mambo ya michezo au fashion sivutiwi nayo sana. Mie mpenzi wa siasa, mazingira, biashara halisi na mambo kama hayo ILA LEO Mustafahasan Ally umenipata!! I read his press release to the last word!
ReplyDeleteKiingereza kimekwenda shule na umetumia logic kubwa sana, hongera!
Nina kuahidi nikitoka huku, mwishoni mwa mwaka, nitakutafuta uni dizainie vazi KALI la Kiafrika!! Yale ya ki Nigeria Nigeria hivi, nataka kuachana au kupunguza suti na tai ni UKOLONI!
Kila la kheri kaka!
Mimi kwa upande wangu kama Michuzi ndio angeandika hii habari ya kuwa wewe umetengeneza ile nguo mbaya ya Usiku kweli ningekua moja kwa moja na wewe. Lakini hao waliosema ni wanudaku tu wa blog hii. Wewe huna sababu ya kuwajibu wanaudaku. Utajibu mangapi yanayosemwa na watu wasionyesha hata majina yao?
ReplyDeleteKuna magazeti ya umbea mengi tu yanawasema watu kila siku lakini hawachukui mda wao kujakujibu maumbea yao. Utakua unapigana na ukuta na matokeo yake unayajua.
"spanky" umeshalewa heineken nyamaza, subiria jumatatu ndo ulete hoja! umepiga box wiki nzima unafakamia heineken leo sababu ijumaa ndo unakuja kutoa pumba hapa
ReplyDeleteThe dude came smart no doubt
kwanza kajifunze kuandika sio "proffessional" ni "profesional" pumbavu toa pumba zako nenda shule punguza box
Kazi nzuri Mustafa, hata mimi sikupendezwa na lile gauni lakini sikufikiria kama limeshonwa bongo. Kwasababu watu wengi walikuwa wamekushuku ingekuharibia kazi yako. Umefanya busara kujitokeza na kufanya demage control.
ReplyDeleteYou are doing good man, keep up with the good work!
Issa yule Mrembo wa Top of Ze World alishia wapi ???
ReplyDeleteUnajua staili yake ya kuondoka ilikuwa baab kubwa.
http://issamichuzi.blogspot.com/2007/01/mrembo-edna-audax-muda-mfupi-kabla-ya.html#comments
WE ANONI WA June 2, 2007 8:59:00 AM EAT hufai kabisa, naikumbuka hii, umenikuna mbavu. Ila ntakuelekeza ku HTML ili ukiweka kitu tusipate shida ya kucopy paste
ReplyDeleteMustafa thanks for the explanation na najua uko kwenye hii fani kutengeneza faida na sio all the time charity lakini apa issue naona ni mapromota dhaifu ambao hawana uwezo wa kulipia quality design from you and other fellow designers na mwishowe tunaishia kumtia aibu mshiriki pamoja na designer mwenyewe,kumbuka pale hawaangalii tu jina la designer but wana conclude kwamba thats the best Tanzania can offer interms of what they see on stage.Mi ningekushauri wakati mwingine ukiweza basi jitolee ku design the best costumes for our ladies ambao wana compete on international stages koz itakusaidia wewe kujulikana,Tanzania,na mshindani kufika pale ambapo anastaili.Thanks!
ReplyDeleteMakubwa haya ,Huyu designer mi namwaminia ,nimeona nguo zake nyingi nzuri sana hapa kwa michuzi hata kwenye website yake.
ReplyDeleteIla hii chokochoko anayaoitaka haina maana,sababu wadau wengi hapa walikuwa wanauliza hivi ile gown ya flaviana alidesign huyu jamaa au ?,sijui hajaelewa kwamba atleast wengi wanamfahamu yeye kama designer,Mustafa punguza jabza baba ,ingekuwa heri tu ungejibu swali kwamba si mimi niliyedesign ile nguo.Ukileta za kuleta hapa utasasambuliwa mpaka utamani ardhi ipasuke.ohhh ushauri wa bureee punguza pressure.
Wabongo bwana kupapatika tu.
ReplyDeleteCustomer service!!!! amefanya biashara gani kwenu halafu hapa ndio mseme hiyo ni customer service? Mnajua maana ya customer service kweli au mnajisemea tu.
Wengine oh!!! damage control nini alichofanya wrong kwa hiyo sasa hivi anajitahidi kuelezea wateja wake nini kilienda wrong ili kurudisha uaminifu kwa wateja wake? Mwenye kutakiwa kufanya damage control ni huyo aliye design nguo za flavia lakini sio huyu. Yeye hayamuhusu na ni kama anamkandia huyo designer indirect.
Kama hajitangazi basi yapo mengine. Hamna free advertisement kama alitaka kujitangaza zaidi angetoa gauni bure kwa flavia akienda kwenye mashindano. Sio baada ya mambo yameisha ndio oh mimi style yangu ni hii na ile.
Too much... mambo yameisha na waliosema walikua hawajui na waliuliza na wengine wakajibu.
Jamani it is not the end of the world.... Let's move on now...That is history. Nchi nyingine wame shasahau hilo shindano na wanaanza kujiandaa kwa mashindano mengine yanayokuja siye tutakalia hili shindano mwaka mzima...
Mustafa,
ReplyDeleteSidhani kama ingekuwa ni tatizo kama wewe unge design gauni la Flaviana bila malipo. Ingekusaidia sana nguo zako kuonekana kwenye anga la kimataifa.
Kumbuka ma designer kama Versace, GUCCI, Prada hata COACH huwa wanawapa ma celebrity vitu vyao bure maana ni free advertisement.
Mie ningekuwa ni wewe ningemlipa Flaviana kuvaa nguo zangu.
Mustafa Thanks for responding! wanaosema ungekaa kimya nina imani ni wale ambao bado wako bongo (not exposed to the real world)hawajui customer service ni mnyama gani achana nao itakugharimu sana kuwaelewesha.
ReplyDeleteWe are now living in the relational business environment not transactional business as it was in a past. In short sio kuuza tu na kusubiria aje mtu mwingine uuze, inabidi ufatilie mteja uone satisfaction level kama kuna weakness una-fix ili next time anapata kitu kilicho bora as it is cheap to keep a customer you already have than looking for new customers. I know thats what you're doing Good job and am so impressed!
usingejibu ningeweza ku-assume wewe ndo umetengeneza lile gauni sababu ndo tunakuonaona sana kwenye news as a designer na nisingeweza kujua kama una strategies nzuri tu kama inavyojidhihirisha kwenye majibu.
Huwa sifagilii nguo za kibongo ila next time nikija bongo nta-stop at your location to see if i can get something
NDUGU YANGU MUSTAFA. Tunashukuru kwa ujumbe wako, ila Mimi kama rafiki yako mkubwa tu, na pia mbunifu ingawa si wa mavazi, nimefurahi kwa ujumbe wako.
ReplyDeleteTatizo umetoa ujumbe ukiwa na mandhari ya kibiashara na kujitangaza, na kujiona wewe ungekuwa bora kuliko wengine woote waliobuni nguo za Flaviana.
Mimi binafsi nguo zako huwa sizipendi. kwa sababu zifuatazo.
1. zina mahadhi ya kihindi kama ulivyo wewe mwenyewe, na sikatai ni internal creativity of yours.
2. pia nguo zako huwa na marangi mengi mno yasiyo na mpangilio unaovuta macho yangu kama mti wa X-mas
3. nguo zako hazivaliki kwenye shuguli zinginezo zaidi ya zile za sherehe, yaani wewe huna nguo zinazoweza kuvalika ofisini,n.k.
4. umaarufu wako kwa kufanya maonesho pale Movenpick pekee isiwe kigezo cha kuwa mbunifu bora kuliko yule aliyebuni toka Zanzibar.
Tunajua kwamba umewashika baadhi ya watu kwenye makampuni mawili matatu ya vinywaji (Hasa REDDDS) ambao wana ukaribu wa aina fulani na wewe (Binafsi zaidi siwezi kuongea mbele ya watu) na ambao wamekuwezesha kupata hata nyumba unayoishi hapo nyuma ya Ubalozi wa Ufaransa. Hao watu ndio wanakusaidia kupata sponsorship ambazo zinakuwezesha kufanya maonesho pale Movenpick, na ikizingatiwa meneja wa hoteli ile ni rafiki yako pia. Kumbuka meneja huyo anaondoka muda si mrefu baada ya serikali kumnyima work permit ya kuendelea. sasa sijui utapewa wapi ukumbi bure kama ulivyozoea.
Sasa kwa favour unazozipata hapa nchini isiwe kigezo cha kujiona wewe ni mbunifu bora kuliko wengine na kutaka kuwasemea wabunifu wenzako.
ngoja nikutajie wabunifu ambao siku ambayo watapata nafasi ya kufanya maonesho na wewe, sidhani hata mtu mmoja atashangilia nguo zako. Kuna: Manju, Francisca Shirima, Happy Chilima, KHadija Mwanamboka, na wengine wengi.
kwakukosa mdhamini wa kufanya maonesho hapa nchini, hao wabunifu wamekuwa wakihangaika, na wote tunajua kupata sponsor huwa ni tatizo kubwa hapa nchini kwetu kama hujuani na mtu au hutoi rushwa ya Ngono (kama wewe... Unajua hilo mustafa).
Tunakuomba tukiwa watanzania, tunaopenda challenge, mabadiliko, ujasiliamali etc. Usitake kutumia vibaya jina ulilo nalo na kutaka kudharau wenzako kwenye fani. TENGENEZA TANGAZO LAKO KWENYE WEBSITE YAKO SI HUMU TUNAMOJADILIANA WOTE.
Umewataja akina Afrika Sana, ambao ni kama wewe tu, kwani wameshapigwa Bao sana sasa hivi na hawana mpya, wamebaki na matakataka yao pale Sinza. wanaishia kujipendekeza kila sehemu, hasa kwenye shuguli za kitaifa ili mradi wawemo. Angalia Mustafa usitake tuongee mengi kuhusu wewe, fanya shuguli zako taratibu.
wako rafiki yako.
KWA KWELI INASHANGAZA SANA KUONA MTU ANAYEPATA KUFANYA MAONYESHO MENGI KWA KUWA ANA 'CONNECTIONS' NA WATU NA SIO KIPAJI KIKUBWA CHA UBUNIFU AKITUKANA WENZAKE KIDIZAINI, KAMA ANAVYOFANYA MUSTAFA HAPO JUU. INAELEKEA IMEMUUMA SANA YEYE KUKOSA NAFASI YA KUBUNI NGUO ZA FLAVIANA. HIVI UNATAKA KUMFANYA NANI MJINGA HAPA KWAMBA ZILE NGUO ZILIKOSEWA!?? NI NANI ANAYESEMA HIVYO KWANI NYIE NDIO MAJAJI? WEWE ULIMBUNIA NANI AKAFIKA 10 BORA YA MASHINDANI YA JUU KAMA HAYO? TENA KWA MARA YA KWANZA TU TUNASHIRIKI.UNATAKA KUTUELEZA KUWA FLAVIANA ALIKOSA KUWA NAMBA MOJA KWA SABABU YA NGUO??? KUNA VIGEZO VINGI SANA VYA KUMPATA MSHINDI, NGUO NI MOJAWAPO TUU KUNA MAMBO YA MASWALI, INTERIGENCE, UCHESHI, UNAVYOONEKANA KWENYE PICHA , KURA UNAZOPATA N.K ( NADHANI HUKUMPIGIA KURA..). KWA WALIOSAHAU ALIYEBUNI MAVAZI YA FLAVIANA NI JAMILLA SWAI, VERY CREATIVE FASHION DESIGNER WE HA VE IN TANZANIA (IN MY OPINION).
ReplyDeleteHIVI WAULIZENI WATU NI NGUO NGAPI ZA HARUSI MUSTAFA AMEWAHARIBIA WATU MPAKA WAKAZIACHA WAKAENDA KUKODISHA WASIZOPENDA!! ACHA KUJIFANYA WEWE NDIO TOP TUU KW A SABABU YA VIJIONYESHO MBUZI NA PUBLICITY ZA DEZO UNAZOPATA.
JAMILLA IS THE BEST.
Whether I spelled the word wrong or not but you got my point. We are not in a spelling Bee completion here. If people speak the truth you less minder who scares of rich and popular people jump on stupid damn things and forget the whole point in order to undermine the naked truth.
ReplyDeleteYou are a low life bongonise who will always remain big shot people’s puppy if you see the other people spweaking the truth and you try to twist it so much to devalue the whole point.
There is no reason for a designer to come out and speak this after the pageant is gone. How if they won the thing would he do the same thing here? There is no need of marketing by indirect disapprove of the other designers who tried their best to provide something for our Miss Universe.
The organizers, Maria, Flavia and her designers deserve more than this. They accomplished a lot with (who knows) how low was the budget and over a period of that little time they had.
Unless kama sijasoma vizurii....ila sijaona sehemu ambayo mustafa hassanali amewadharau wabunifu wenzie...zaidi alikuwa anatetea wabunifu wote wa Bongo...we uliejidai rafikie nakuja kutoa maelezo jinsi anavyopewa ukumbi na kuwezeshwa kufanya fashion show isije kuwa huwa ulikuwa unataka umsaidie akakumwaga
ReplyDeleteyeye anafanya biashara...na na ana haki ya kujitetea popote pale anaposhutumiwa kufanya kitu ambacho hajafanya
safi saaaana mustafa kwa kueleza na endelea kukamua...hater hao...watu na viatu wapo tu...wasikushushe.
HASSANALI una advertise hapa na kuwakandya wenzio usijione matawi sana ndiyo ni kweli nguo za flaviana zilikuwa na hazina mvuto lkn haimaanishi kwamba we ndo kila kitu ushafahamu??michuzi watu wanapenda kuadvertise tuu hivi huwa wanakulipa au ndo kujitaftia umaarufu na mapato kwa kutumia mgongo wako?
ReplyDeletektk utetezi wako wewe mustafa umeonyesha kuwa kwako quality iko proportional na bei.
ReplyDeletesasa kuhusu hiki ki-website chako kibaya cha "Front-page" na sisi watu wa ICT tusemeje???.. ur cheap as well..
tafuta ushauri mzuri na ufungue site yenye mvuto. wewe pia unapenda vitu vya chee ndio maana una ka-site kabaaaaayaaa..
Michuzi, mfundishe mustafa namna ya kufungua blog kama hii kwenye blogspot.com nasema ukweli, blog ya michuzi ina muonekano mzuri kushinda hiyo site ya Mustafa.
acha kuwashtumu wenzako kuwa wanapenda vitu cheap while yourself you are on the same boat!.
JAMANI TAKE A CLOSER LOOK OF THE GAUNI MSISEME TU TUNAKANDYA GAUNI BT ANGALIENI HIZO CUPS JAMANI HUYO ALIEMDIZAINIA MISS VENEZUELA SIO MUNGU NA ALITENGENEZA VIBAYA SARUNGI ANAONA BICHWA KWAKUWA ILITENGENEZWA NA HUYO KWANI WAKINA ROBERTO CARVALLI WENYEWE WANACHEMSHAGA!!!!
ReplyDeletehttp://darhotwire.com/dar/Maisha/2007/06/04/33377.html
ANON hapo juu nakubaliana na wewe HASSANALIZ websitte iz the ugliest iv never seen in this world!! Graphics mbaya colors mbaya kajaza makorokoro kibao! therez no usability yani angalia buttons angalia hata picha kama ya kwanza bora hata asingeiweka manake hatuoni picha sasa wee muhindi Unaetuibia hela zetu TENGENEZA WEBSITE NZURI ACHA VYA BUREEE he inatia aibu na majigambo yote na advert una website mbaya namna hiyo! AIBU KWAKWELI!
ReplyDeletenaomba mtembee website ya ladyjaydee www.ladyjaydee.com alafu muaangalie picha tafadhali japo kapiga kwa michuzi the best photographer in town ila make up ile pinkish pinkish kwa mtu mweusi naona mhh angekuwa anatoka na gold ivi angalau angeweza weza kupendeeeza anyways............
ReplyDeleteHuyu HASSANALI, naomba uwagrade madesigner wa kenya, uganda na tanzania hili tujue where does he stand,maana tunahisi because tuko nje, we are being taken for a ride,it seems he is getting publicity ambayo hastahili
ReplyDelete