mdau wa ukerewe katua bongo juzi kukamilisha mambo fulani. na kama kawaida ya karibu wadau wote wa ughaibuni jana karipoti njenje kwenye vituz vya uhakika. hapa yupo na waziri ally

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 04, 2007

    michuzi muhongo, huyu jamaa hajatoka UK, mbona kavaa pyjama

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 04, 2007

    Waziri Ali- Katokea mbali huyo toka kwenye NUTA then JUWATA juzz Band. Kinanda alichopiga kwenye ule wimbo - "Nilikupeleka kwa Wakwe zangu, ukaonane na ndugu zako ee ee....! ndo kilimpaisha. Enzi hizo Organ ilikuwa fashen kwenye Jazz bands.
    Lakini jamaa ananyanyasa kinanda, si mchezo. Keep it up Waziri!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 04, 2007

    Na Waziri wake NYOTA!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 04, 2007

    We anony wa 10:40 mbona unachekesha acha ubaya kaka wa watu kapendeza na anaishi UK namfahamu we kwani unafahamu kila mtu anyeishi UK????????

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 05, 2007

    yupi sasa hapo ndo mdau wa UK, ukiniuliza mimi nitakwambia huyo wa kulia michuzi fafanua

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...