hilo papaizzz lisikustue.kuna mdau ambae ni mtaalamu wa matunda tunda kaanzisha globu yake na anatukaribisha soote tumtembelee hapa www.abdallahmrisho.blogspot.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 05, 2007

    jamani eh,mi nna udaku.amina chifupa kaonekana njombe akichukua omu za kugombea ujumbe wa NEC.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 05, 2007

    Moja ya faida za HIV/AIDS ni kuwa imewafanya watu kupenda matunda. Kuna kipindi watanzania walidhani matunda ni kwa ajili ya watoto tu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 05, 2007

    ni wa Bukavu?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 05, 2007

    Michuzi unataka kumpiga mtu kipapai nini?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 05, 2007

    wadau ... nawezaje kuanzisha blog jamani? hebu nisaidieni ili niwe hewani na miye!!!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 06, 2007

    watu bwana!! kuiga kunya kwa tembo......
    wameona blog yako imechanganya wanata nao wafanye. nawe michuzi unawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa, unajifanya mkarimu kwao kwa kutupa mwaliko. WAambie ukweli na uwapeleke kwa SANGOMA wako alikurogea mpaka umefikia hatua hii.
    nawakilisha!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 06, 2007

    Anoni wa Tarehe June 5, 2007 8:33:00 PM EAT, kuna server kibao zinatoa nafasi ya wewe kuanzisha blog, ila hawa google naona wanaongoza kwa kukupa nafasi kubwa na uhuru zaidi.
    Ndo maana kina Michuzi wote wako huko. Nenda www.blogspot.com au http://www.blogger.com/home
    Than CREATE BLOG, utaregester, kama huna email ya gmail tafuta mtu aliyenayo akuinvite au weka yako hapa hadharani ntaku invite

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...