Home
Unlabelled
shwa shwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mimi naomba maelezo ya yule mrembo ulimweka akiwa airport anakwenda sijui wapi vile kushindania sijui ilikua ni mashindano ya nini?
ReplyDeleteFlavia ulituwelea mwanzo mpaka mwisho na yule ungeweka hivyo hivyo. Au aliondoka na kamera zikimsindikiza airport akarudi kimya kimya.
Unajua comments zetu ingawaje ziko harsh sometimes lakini nikama za American idol show Judge Simon cowel.
MZee michuzi tushibishe na pic za Mwanza basi , mambo ya senegal na TZ, tutafurahi sana, si unajua sisi wapenda soccer..
ReplyDeleteMichuzi, nipe jina la muosha magari huyo, maana utadhani jua lachomoza toka kwa kioo cha gari. Nice picture, heavily unpixellated
ReplyDeleteWapi WTM utility...........
ReplyDeleteMichuzi najua wewe umecheza sana karate Zanaki naomba tuambie hiyo staili gani naona hata sijawai kuona wakiifundisha enzi zako zanaki.Au umeipata katika safari zako ughaibuni.
ReplyDelete