ahmed viriyala katuletea hii leo. wadau wanaopenda kutupa picha ama katuni ama maoni watume kupitia issamichuzi@gmail.com hamna noma wala nini...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 24, 2007

    mzee Michuzi ajali monduli leo imenitia kinyaa ile mbaya,eti watu 200 baba ungeona hiyo damu ungechanganyikiwa ile mbaya.Trafik wanafanya nini?Duka bovu kuna Trafik ambao wangekagua kama lile lori lilikua linaendeshwa na mtu makini lakini hawajafanya hivyo,jamani tuliobakia kufa ni mimi na wewe unayesoma hii habari na michuzi kweli tukubali kufa hivi hivi?Habri za vifo vitushoshe.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 24, 2007

    Nakuaminia michuzi vizuri sana...

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 26, 2007

    teh, teh, teh! Jamaa kweli ni mkali!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 26, 2007

    Akome hiyo ni sawa na kutaka kujua bata anakula nini!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...